NIMEOGOPA SANA MNO YAN NIMESIKITIKA
[emoji1593]Kati ya Vijana 10 waliomaliza Chuo kikuu , vijana 5 ndo wenye uwezo wa kuandika ukurasa wa maneno kadhaa bila kuchanganya herufi L na R kwenye Kiswahili
[emoji1593]Katika vijana 10 waliomaliza Chuo kikuu, 7 Kati yao Lugha waliyofundishiwa hawana uwezo wa kuiongea kwa ufasaha yaani kujieleza kwa lugha husika Hawawezi
[emoji1593]Kati ya Vijana 10 waliomaliza Chuo kikuu 6 Kati yao hawajui historia ya nchi yao ukiwauliza wana kwambia hatujaenda kusoma historia au fani Hiyo, wakati jambo unalomuuliza tulijifunza form one Mpaka three, na mengine ni ya Primary kabisa
[emoji1593] Katika vijana 10 waliomaliza Chuo kikuu vijana 9 hawajahi igusa katiba ya Tanzania na kujisomea,
[emoji1593]Kati ya Vijana 10 wanaomaliza Chuo kikuu basi 9 Kati Yao wanasaka ajira, mmoja tu ndo anawaza kuwekeza au jinsi ya kupata mtaji kufanya mambo yake!
[emoji1593]Mwisho kabisa Katika vijana 10 waliomaliza Chuo kikuu basi 9 wana app ya Udaku
Niendelee kulia Kama @ExMayorUbungo [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Sent using
Jamii Forums mobile app