NIMEOGOPA SANA MNO YAN NIMESIKITIKA

Kati ya Vijana 10 waliomaliza Chuo kikuu , vijana 5 ndo wenye uwezo wa kuandika ukurasa wa maneno kadhaa bila kuchanganya herufi L na R kwenye Kiswahili

Katika vijana 10 waliomaliza Chuo kikuu, 7 Kati yao Lugha waliyofundishiwa hawana uwezo wa kuiongea kwa ufasaha yaani kujieleza kwa lugha husika Hawawezi

Kati ya Vijana 10 waliomaliza Chuo kikuu 6 Kati yao hawajui historia ya nchi yao ukiwauliza wana kwambia hatujaenda kusoma historia au fani Hiyo, wakati jambo unalomuuliza tulijifunza form one Mpaka three, na mengine ni ya Primary kabisa

Katika vijana 10 waliomaliza Chuo kikuu vijana 9 hawajahi igusa katiba ya Tanzania na kujisomea,

Kati ya Vijana 10 wanaomaliza Chuo kikuu basi 9 Kati Yao wanasaka ajira, mmoja tu ndo anawaza kuwekeza au jinsi ya kupata mtaji kufanya mambo yake!

Mwisho kabisa Katika vijana 10 waliomaliza Chuo kikuu basi 9 wana app ya Udaku
Niendelee kulia Kama @ExMayorUbungo



Sent using
Jamii Forums mobile app