Al Watani
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 21,697
- 32,447


Yeah
Mbona Kama Teja hivi ukimcheki hata suraMwizi kaingia kwa Muandishi wa Habari Farouk Karim usiku wa kuamika leo Jumapili akaiba nguo na viatu na akaingia kwenye gari ya Farouk akachukua power window lakini hakuondoka tena akalala hapo hapo hadi asubuhi ya leo, wenyewe wakamgundua na kuja kuchukuliwa na Jeshi la Polisi.
Farouk hii Teknolojia ulotumia naiomba nzuri sana, duh kaganda hapo hapo! View attachment 1466176View attachment 1466177View attachment 1466178View attachment 1466179
Jr![]()