nilikua nachimba chimba tu nikagundua waandishi wa habari walikua wanateseka sana kipindi cha 'msukuma' nikawaza tuKwa nini unauliza hivyo?
Mama alishasema mkosoe serikali ila kwa heshima na siyo kwa kuporomosha matusi.
Kama una maswali zaidi Waziri Nape Nnauye yumo humu anaweza kukufafanulia zaidi.
Na kwa vile na mimi ni Msukuma ndiyo ukaona unitwishe zigo ama?nilikua nachimba chimba tu nikagundua waandishi wa habari walikua wanateseka sana kipindi cha 'msukuma' nikawaza tu