Nawasalimu Kwa jina la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania
Nipende kutumia fursa hii kumshukuru Mungu Kwa zawadi ya uhai .
Vilevile niwapongeze Kwa mapambano ya Kila siku ya kuwatumikia wanafunzi wenzetu.
Ndugu viongozi katika mkutano mkuu 25/11/2023 tulitangaza fursa Kwa chuo Cha Mwalimu Julius Nyerere University of Agriculture and Technology (
MJNUAT ) ambacho kipo Musoma ni chuo Cha serikali.
Chuo kinahitaji wanafunzi 100 lakini mpaka Sasa Kuna wanafunzi 20 tu ndio wameomba ambao nimewatafuta mimi , tafsiri yake ni kwamba fursa hii hatujaifikisha Kwa wanafunzi

NB: wanafunzi Hawa wanapewa mkopo 100% naomba tusambaze upendo kama Kuna mtu anahitaji awasiliane Kwa no .
0713964972 Kwa maelekezo zaidi .
Aidha , wanaotaka kuhamia pia wanaruhusiwa ,kozi zinazotolewa katika chuo hicho ni :
1. Bsc-agricultural economics and agribusiness
2. Bsc-Aquaculture
3. Bsc-Computer science......
Asanteni sana .

Madam P .
VIA;
Wizara ya fedha na mikopo -SOSJCET
Innocent Wilbert Mollel -Waziri
#0694094178
Getrude Mgonja -Naibu waziri
#0788886069
Mfikishie fursa hii ndugu, jamaa na rafiki yako.
Sent using
Jamii Forums mobile app