Vituko mikoani

Mkoa wa Mara ndio mkoa pekee ambao upendo huonyeshwa kwa vipigo... Ni mkoa pekee ambao karibu kila nyumba haikosi mtuhumiwa wa mauaji na ndio mkoa pekee wenye death rate kubwa kutokana na kuuana... Kule ni MURA VITA NI VITA MURA
Siyo mkoa wa Mara kiujumla mkuu ni Wilaya ya Tarime tu ndo ina visa ivyo na ilo ni kabira la wakurya.. Mara kuna makabira mengi ila wakurya ndo wana visa ivyo hapo ulivyovitaja
 
Nadhani hii ni Njombe au Ludewa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…