Mkoa wa Mara ndio mkoa pekee ambao upendo huonyeshwa kwa vipigo... Ni mkoa pekee ambao karibu kila nyumba haikosi mtuhumiwa wa mauaji na ndio mkoa pekee wenye death rate kubwa kutokana na kuuana... Kule ni MURA VITA NI VITA MURA
Mshana umeanza kujifunza uwongo kumbe, kusema Mara katibia kila nyumba kuna mtuhumiwa wa mauaji ni uwongo wa kiwango cha uzamivu. Halafu hata hiyo habari kwamba death rate ni kubwa kwasababu ya mauaji pia si kweli.
Mshana umeanza kujifunza uwongo kumbe, kusema Mara katibia kila nyumba kuna mtuhumiwa wa mauaji ni uwongo wa kiwango cha uzamivu. Halafu hata hiyo habari kwamba death rate ni kubwa kwasababu ya mauaji pia si kweli.