Vituko mikoani

 


Wasioyaweza wa Mjini....! Hawa majamaa wanayaweza!



Majamaa ni wajasiriamali wa kutoka moyoni na sio UDBS!



Na hapa ndipo wanapopikwa first class specialist doctors na senior Economists!



Na wana uwezo mkubwa wa ile tunaita PROBLEM SOLVING TECHNIQUES!
 
 
Ule uzi wa wanaume wa mikioani vs wanaume wa dar ulikua hujaegemea upande wowote ila kwa huu uzi unatuthibitishia dhahiri wewe jr mshana ni mwanaume wa dar.
 
umenena vema
 
raha sanaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…