>Unayempenda hana hata senti tano, anaekupenda pedeshee la maana..
>ukiwa na hamu, ye hana, akiwa nayo we huna
>mara nyingi ni vigumu mtu kumtaja mpenz wake hadharan, hasa kama wapo wengi
>mkigombana na jina kwenye simu unachange! From myonly1 to fundi majeneza!