Heaven on Earth
Platinum Member
- Mar 21, 2013
- 37,233
- 26,753
si muende huko kwenye mapya .. hebu kwendeni zenu[emoji23]
Miss you.. mimi nimepotea ila wewe too much
si muende huko kwenye mapya .. hebu kwendeni zenu[emoji23]
Nilikuwa na jiko la gesi na umeme na mtungi saizi ya kati majirani waliniwahi..Mkuu huna jiko la mchina nami uniuzie[emoji15] [emoji15]
"Sipo kutafuta wachumba, nafanya kazi za Watanzania"[emoji125][emoji125][emoji125]
Kaka nimebet saana tu.. ila mara zote Arsenal imekuwa ikinihangusha..
Nasi tuko njiani mkuu, mapambano ya maisha yanaendelea kwa kasi..Kaka nikiangalia mbele naona kama mwezi wa kumi na mbili sitouweza.. bora niwahi msimu.. mvua zikiisha ukienda kijijini wenyeji wanakuona mzushi tu.. hawakupi ushirikiano.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji28] [emoji28] jiunge mnadaniNasi tuko njiani mkuu, mapambano ya maisha yanaendelea kwa kasi..
Tupia picha yake kwanza tumthaminishe kama analipaWandugu msisahau kuwa mtu akinunua vyote kwa mpigo nampa na ofa ya kuishi na wife kwa miezi sita wakati nikiendelea na kujipanga..
Sent using Jamii Forums mobile app
Je akinunua mwanamke vyote hivyo unampa offer gan?Wandugu msisahau kuwa mtu akinunua vyote kwa mpigo nampa na ofa ya kuishi na wife kwa miezi sita wakati nikiendelea na kujipanga..
Sent using Jamii Forums mobile app
Wandugu msisahau kuwa mtu akinunua vyote kwa mpigo nampa na ofa ya kuishi na wife kwa miezi sita wakati nikiendelea na kujipanga..
Sent using Jamii Forums mobile app
nitakupa laki mbili kamili njoo pm kama unataka![]()
utakuwa unapata ten pasent si bure [emoji3] [emoji3]si muende huko kwenye mapya .. hebu kwendeni zenu[emoji23]
Miss you.. mimi nimepotea ila wewe too much
kama mdada je utampa nini......Wandugu msisahau kuwa mtu akinunua vyote kwa mpigo nampa na ofa ya kuishi na wife kwa miezi sita wakati nikiendelea na kujipanga..
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii ofa sasa nmeipenda zaidi! Unazid kunishawishiWandugu msisahau kuwa mtu akinunua vyote kwa mpigo nampa na ofa ya kuishi na wife kwa miezi sita wakati nikiendelea na kujipanga..
Sent using Jamii Forums mobile app