Nsumba ntale tz
JF-Expert Member
- Apr 19, 2016
- 713
- 759
Habari guys! Naenda nje ya nchi kupiga mishe huko nauza vitu vyangu vya ndani
*.Kitanda+godoro+net ya kisasa 5*6 nilinunua vyote kwa 435000
*.Dish la dst nilinunua 79000
*.Sofa la watu 3 na la mmoja nilinunua 700,000 mwaka jana
*.Zuria la manyoya nilinunua 250,000
*.Jiko la gesi plet 3 na mtungi wake nilinunua 200,000
*.Microwave 150000
*.Jiko la umeme la kuchomea nyama
*.Meza ya tv
*.Sabwoofer
Kodi yangu inaendelea mpaka mwezi july 5 mwaka huu hivyo nitakuachia na gheto na kukukabidhi kwa mwenye nyumba, chumba ni master kodi yake ni elfu sitini kwa mwezi.
Location ni Nkuhungu Jijini Dodoma
Vitu vyote hivyo utanipa milioni moja na laki 3 tu nakuachia kila kitu pamoja na chumba.
Aliyetayari tafadhari AniPM namba yake akivione vitu pamoja na room au waweza Piga kwa namba ya simu 0719760317
Picha sijaweza kuweka maana nipo mbali na vitu so ukipiga hiyo namba huyo mtu atakupeka ukavione
*.Kitanda+godoro+net ya kisasa 5*6 nilinunua vyote kwa 435000
*.Dish la dst nilinunua 79000
*.Sofa la watu 3 na la mmoja nilinunua 700,000 mwaka jana
*.Zuria la manyoya nilinunua 250,000
*.Jiko la gesi plet 3 na mtungi wake nilinunua 200,000
*.Microwave 150000
*.Jiko la umeme la kuchomea nyama
*.Meza ya tv
*.Sabwoofer
Kodi yangu inaendelea mpaka mwezi july 5 mwaka huu hivyo nitakuachia na gheto na kukukabidhi kwa mwenye nyumba, chumba ni master kodi yake ni elfu sitini kwa mwezi.
Location ni Nkuhungu Jijini Dodoma
Vitu vyote hivyo utanipa milioni moja na laki 3 tu nakuachia kila kitu pamoja na chumba.
Aliyetayari tafadhari AniPM namba yake akivione vitu pamoja na room au waweza Piga kwa namba ya simu 0719760317
Picha sijaweza kuweka maana nipo mbali na vitu so ukipiga hiyo namba huyo mtu atakupeka ukavione