mkurya org.
JF-Expert Member
- Sep 25, 2014
- 1,571
- 1,696
Habarini wakuu nauza vitu vya ndani kama ifuatavyo,,,,
Sumsung tv inch 24.
Bei yake ni 300,000 Tsh.
Fridge aina ya MENGCHI
bei yake ni 220,000 Tsh.
Kabati la nguo milango mitatu lenye dressing table
Bei yake ni 180,000 Tsh.
Sofa ya watu wawili.
Bei yake ni 100,000 Tsh.
Redio spika tatu pamoja na meza yake.
Bei yake ni 130,000 Tsh.
Rice cooker kampuni ya Kenwood.
Bei yake ni 50,000 Tsh
Mtungi wa gesi MIHAN Gas
Bei yake 40000 Tsh.
King'amuzi cha DSTV pamoja na Dish lake yani full set 60000 Tsh.
Na vitu vingine ambavyo sijapiga picha ni blender aina ya ZEC yenye kioo kwa 45,000 Tsh,Godoro 5×6 bei yake ni 60,000Tsh na pasi pia ipo kwa 20000Tsh.
Picha zote tazama hapa chini.








.
Sumsung tv inch 24.
Bei yake ni 300,000 Tsh.
Fridge aina ya MENGCHI
bei yake ni 220,000 Tsh.
Kabati la nguo milango mitatu lenye dressing table
Bei yake ni 180,000 Tsh.
Sofa ya watu wawili.
Bei yake ni 100,000 Tsh.
Redio spika tatu pamoja na meza yake.
Bei yake ni 130,000 Tsh.
Rice cooker kampuni ya Kenwood.
Bei yake ni 50,000 Tsh
Mtungi wa gesi MIHAN Gas
Bei yake 40000 Tsh.
King'amuzi cha DSTV pamoja na Dish lake yani full set 60000 Tsh.
Na vitu vingine ambavyo sijapiga picha ni blender aina ya ZEC yenye kioo kwa 45,000 Tsh,Godoro 5×6 bei yake ni 60,000Tsh na pasi pia ipo kwa 20000Tsh.
Picha zote tazama hapa chini.








.