Vitu vifuatavyo vinauzwa.

Vitu vifuatavyo vinauzwa.

mkurya org.

JF-Expert Member
Joined
Sep 25, 2014
Posts
1,571
Reaction score
1,696
Habarini wakuu nauza vitu vya ndani kama ifuatavyo,,,,

Sumsung tv inch 24.
Bei yake ni 300,000 Tsh.

Fridge aina ya MENGCHI
bei yake ni 220,000 Tsh.

Kabati la nguo milango mitatu lenye dressing table
Bei yake ni 180,000 Tsh.

Sofa ya watu wawili.
Bei yake ni 100,000 Tsh.

Redio spika tatu pamoja na meza yake.
Bei yake ni 130,000 Tsh.

Rice cooker kampuni ya Kenwood.
Bei yake ni 50,000 Tsh

Mtungi wa gesi MIHAN Gas
Bei yake 40000 Tsh.

King'amuzi cha DSTV pamoja na Dish lake yani full set 60000 Tsh.

Na vitu vingine ambavyo sijapiga picha ni blender aina ya ZEC yenye kioo kwa 45,000 Tsh,Godoro 5×6 bei yake ni 60,000Tsh na pasi pia ipo kwa 20000Tsh.
Picha zote tazama hapa chini.
.
20170922_140044.jpg
20170922_135525.jpg
20170922_140701.jpg
20170922_141806.jpg
20170922_141038.jpg
20170922_152221.jpg
20170922_143842.jpg
 
naona kama bei kubwa mfano; kabati jipya 190,000/= na dstv 69,000/=
 
Tunaweza kufanya biashara ya king'amuzi cha dstv bila dish
 
Habarini wakuu nauza vitu vya ndani kama ifuatavyo,,,,

Sumsung tv inch 24.
Bei yake ni 300,000 Tsh.

Fridge aina ya MENGCHI
bei yake ni 220,000 Tsh.

Kabati la nguo milango mitatu lenye dressing table
Bei yake ni 180,000 Tsh.

Sofa ya watu wawili.
Bei yake ni 100,000 Tsh.

Redio spika tatu pamoja na meza yake.
Bei yake ni 130,000 Tsh.

Rice cooker kampuni ya Kenwood.
Bei yake ni 50,000 Tsh

Mtungi wa gesi MIHAN Gas
Bei yake 40000 Tsh.

King'amuzi cha DSTV pamoja na Dish lake yani full set 60000 Tsh.

Na vitu vingine ambavyo sijapiga picha ni blender aina ya ZEC yenye kioo kwa 45,000 Tsh,Godoro 5×6 bei yake ni 60,000Tsh na pasi pia ipo kwa 20000Tsh.
Picha zote tazama hapa chini.
.
View attachment 593565View attachment 593566View attachment 593567View attachment 593568View attachment 593569View attachment 593570View attachment 593571
mm nahitaji hiyo rice cooker 0768210990
 
Back
Top Bottom