Vitu hivi humfurahisha mwanamke

Vitu hivi humfurahisha mwanamke

What is she doing in return❓❗
 
Mkuu nimnunulie juice na vitu vya rangirangi hizo hela nitazotoa wapi?Mapenzi ya pesa hayo mm siyawezi maana kula yangu mwenyewe hapa ni shida!

umeambiwa ni lazima ??i said they make them happy huwezi unaacha
 
What is she doing in return❓❗

why do you think love has to deal with material exchange and afterall uwepo wake unatosha na real love thats all
 
Mie sijaona kitu kigumu hapo jaman!! Ni nn hasa kigumu?

Kama unampenda, mpe raha.
 
Mie sijaona kitu kigumu hapo jaman!! Ni nn hasa kigumu?

Kama unampenda, mpe raha.

Mm sina gari la kukufungulia wewe mlango Nambukwa!!Au hata daladala niwe nakufungulia mlango?Bodaboda hazina milango bana!

Habari hii ni ya kufikirika tu na kama ipo practically basi watakao faidi mapenzi ya aina hii ni matajiri tu
 
Last edited by a moderator:
cheka hata kama hakichekeshi


YANI apo kwenye red utaharibu mbaya
 
Mm sina gari la kukufungulia wewe mlango Nambukwa!!Au hata daladala niwe nakufungulia mlango?Bodaboda hazina milango bana!

Habari hii ni ya kufikirika tu na kama ipo practically basi watakao faidi mapenzi ya aina hii ni matajiri tu

unashindwa kunfungulia mlango aingie ndani,unashindwa kumfugnulia mlango wa duka au sehemu kwenye mahitaji hata kama ni window shopping,

sasa
msaidie kuosha vyombo
msaidie kutupa taka
kila ukimwona tabasamu
mwambie utapatikana mda wote akiwa na tatizo
tafiti kero ambazo hataki uziepuke

n:b mpenzi wa ukweli
 
Last edited by a moderator:
Mm sina gari la kukufungulia wewe mlango Nambukwa!!Au hata daladala niwe nakufungulia mlango?Bodaboda hazina milango bana!

Habari hii ni ya kufikirika tu na kama ipo practically basi watakao faidi mapenzi ya aina hii ni matajiri tu

Siyo lazima uwe tajiri, kama huna hilo gari basi hakikisha mkiwa mnatembea barabarani asiwe upande wa magari. That does not cost a single cent.
 
Last edited by a moderator:
Siyo lazima uwe tajiri, kama huna hilo gari basi hakikisha mkiwa mnatembea barabarani asiwe upande wa magari. That does not cost a single cent.

Mhhh ufanye hayo yote then akuombe mnunulie salio kwa Mangi anataka ampigie Mama yake useme sina atakumbuka kama mkiwa mnatembea namlinda asigongwe na magari?

Jamani hivi hawa wanawake wa kumlemeza kwa vitu kama hivyo vya usalama wake eti ndiyo penzi akoleze wanaishi wapi hapa TZ?

Ni hawa hawa mcharuko ninao ishi nao hapa Tandika ambao kama hauna hela utaishia warembo wazuri kuwaita tu shameji au wapo wengine?
 
Back
Top Bottom