Vitu hivi 3 pekee ndio vihitajikavyo kwenye maisha ya mwanadamu, mengine ni mbwembwe tu

Pendaelli

JF-Expert Member
Feb 13, 2014
8,919
23,242
Hakuna zaidi ya kula, kulala, na kuvaa na vyote hivyo watanzania zaidi ya 80% wanamudu wao na jamaa zao, ni wachache mno utakaosikia wamekufa njaa ni wachache sana utakaokuta wamelala nje, sijawahi ona mtu akitembea uchi.

Ugumu wa maisha upo wapi?
 
Hakuna zaidi ya kula, kulala, na kuvaa na vyote hivyo watanzania zaidi ya 80% wana mudu wao na jamaa zao niwachache mno utakao sikia wamekufa njaa ni wachache sana utakao kuta wamelala nje, sijawahi ona mtu akitembea uchi. ugumu wa maisha upo wapi?
Ni kweli matatizo mengi ni ya kujitakia tuu
 
Hakuna zaidi ya kula, kulala, na kuvaa na vyote hivyo watanzania zaidi ya 80% wana mudu wao na jamaa zao niwachache mno utakao sikia wamekufa njaa ni wachache sana utakao kuta wamelala nje, sijawahi ona mtu akitembea uchi. ugumu wa maisha upo wapi?
Wote tungekuwa tunawaza kama huyu ndugu yetu basi waafrika tungekuwa kama nyani
 
Mahitaji makubwa ya mwanadamu

Hitaji la kimwili
-Tendo la ndoa
-Chakula
-Mavazi


Hitaji la Usalama
-Maradhi
-Usalama wake mwenyewe
-Usalama wa Kiuchumi
-Afya nzuri

Hitaji la Upendo na Utu
-Urafiki/undugu/Ujamaa/familia
 
tusiweke akili zetu kabatini
 

Attachments

  • Maslows-Hierarchy-of-Needs.png
    Maslows-Hierarchy-of-Needs.png
    14.2 KB · Views: 73
Mtoa mada hebu kaa kwanza ujiulize kwanza ulichoandika kama ndio mahitaji pekee ya mwanadamu halafu uje kujisahihisha mwenyewe.
 
Back
Top Bottom