Jamani siku hizi applications nyingi tunafanya Online mara nyingi tunatuma CV pekeyake. Sasa tunapoitwa ktk Oral interview je natakiwa niwe na vi2 gani?
Jamani siku hizi applications nyingi tunafanya Online mara nyingi tunatuma CV pekeyake. Sasa tunapoitwa ktk Oral interview je natakiwa niwe na vi2 gani?
Asante sana,umenifumbua rfk maana nilikuwa sielewi kabisa,tunashukuru experienced pple mnatusaidia ktk hatua kama hizi. Thats my 1st oral interview.cheti cha kuzaliwa
cheti cha shule ya msingi
cheti cha sekondari kidato cha nne na sita
cheti cha chuo
kalamu na picha
hold your certificates for emergency
Asante sana,umenifumbua rfk maana nilikuwa sielewi kabisa,tunashukuru experienced pple mnatusaidia ktk hatua kama hizi. Thats my 1st oral interview.
cheti cha kuzaliwa
cheti cha shule ya msingi
cheti cha sekondari kidato cha nne na sita
cheti cha chuo
kalamu na picha
Sikubaliani na ushauri wa hapo juu, kwenye interview nenda na ID na copy ya CV yako, maybe transcript za chuo kama ni kazi yako ya kwanza. Cheti cha kuzaliwa, primary,secondary havina maana, na kama wanavihitaji wangesema.
Kikubwa katika oral interview ni communication skills pamoja na ujuzi wa kile unacchofanyiwa interview na personality yako.