Vitu ambavyo wabongo wanapenda mno

Vitu ambavyo wabongo wanapenda mno

majebsmafuru

JF-Expert Member
Joined
May 1, 2017
Posts
463
Reaction score
649
  1. Kutokupenda kusoma na kufuata yaliyomo kwenye mikataba
  2. Kutokupenda kufuata sheria bila shuruti
  3. Kupenda "short cuts" iwe barabarani, foleni, kazini, vyeti n.k.
  4. Kutokupenda kubandika bei za bidhaa na kukadiria tu kutokana na muonekano wa mtu
  5. Kukaa nje ya frames za maduka, chini ya miti n.k.
  6. Kujazana kwenye ajali
  7. Kuogopa mvua zaidi kuliko magari
  8. Kupenda kujenga hovyo bila kufuata taratibu
  9. Kusifia majambazi na wezi
  10. Kujazana kwenye misiba
  11. Kuchanga mahela mengi kwenye sherehe na sio za maendeleo
  12. Kupiga mziki mkubwa mpaka masikio kuuma
  13. Kupenda imani za kishirikina
  14. Kupenda kumsingizia Mungu kwamba kataka kumbe makosa ni yao
  15. .......
 
Hivi hiyo namba 10 (kumi) kumbe ni kosa!!!!!!!
 
  1. Kutokupenda kusoma na kufuata yaliyomo kwenye mikataba
  2. Kufuata sheria bila shuruti
  3. Kupenda "short cuts" iwe barabarani, foleni, kazini, vyeti n.k.
  4. Kutokupenda kubandika bei za bidhaa na kukadiria tu kutokana na muonekano wa mtu
  5. Kukaa nje ya frames za maduka, chini ya miti n.k.
  6. Kujazana kwenye ajali
  7. Kuogopa mvua zaidi kuliko magari
  8. Kupenda kujenga hovyo bila kufuata taratibu
  9. Kusifia majambazi na wezi
  10. Kujazana kwenye misiba
  11. Kuchanga mahela mengi kwenye sherehe na sio za maendeleo
  12. Kupiga mziki mkubwa mpaka masikio kuuma
  13. Kupenda imani za kishirikina
  14. Kupenda kumsingizia Mungu kwamba kataka kumbe makosa ni yao
  15. .......
Kupenda vyeti feki
ngono hujaweka??
ilitakiwa iwe number moja
 
Mengine sio kweli.
1. Watu wanasoma sana hiyo mikataba, rushwa na cha juu ndio kinachowafanya kujichetua kuwa hawakuelewa
10. Sio kila msiba watu wanajazana. penye kitu
11. michango ya sherehe ni kama mkopo. usichange uone kama wewe utachangiwa
 
Hilo no 10 umechemka hiyo ni moja ya ibada kwenda kumuuaga aliyetutangulia na km hua huendi subiri yakukute nfo utajua kwa nn beberu lina ndevu
 
Kutoa post zaki pumbavu kama hiyo
 
hakuna kinachoniuzi kwa wabongo kama majungu,fitina na majungu, aidha hakuna kitu kinachonichukiza zaidi kama kujipendekeza pendekeza
 
Back
Top Bottom