vitoto vinavyoingia na wachezaji

vitoto vinavyoingia na wachezaji

Joined
Nov 9, 2013
Posts
31
Reaction score
3
hivi wana jf wale watoto wanaoingia na wachezaji hasa mechi za ulaya ni wa kukodiwa au ni watoto wa wachezaji nijuzeni
 
Wamefulia habari ya mujini kwa sasa ni ada za shule na umeme.
 
Hehehe nimetoka kummuliza mdau hapa swali hilo hilo.
Kama una mtoto unamwandikisha online halafu wanachaguliwa kwa bahati nasibu. Hivyo ni mtoto yoyote tu unaweza kumweka ila awepo mji husika.
 
Mtoto yeyote tu, wa mtu yeyote yule anaweza kuomba kushikwa mkono na mchezaji anayemtaka ili mradi anao uwezo wa kumudu gharama
 
Wazazi husika wanalipia...some tym wanawapa kama motisha kwa wanaofanya vzur xul ,wengine watoka kwenye special group..over
 
jamaa huwa wanaandikisha watoto wao ili waingie na wachezaji.niliona kioja mzee alimwandikisha mwanae tangu siku anazaliwa aje aingie na wachezaj miaka saba baadae
 
Back
Top Bottom