Hehehe nimetoka kummuliza mdau hapa swali hilo hilo.
Kama una mtoto unamwandikisha online halafu wanachaguliwa kwa bahati nasibu. Hivyo ni mtoto yoyote tu unaweza kumweka ila awepo mji husika.
jamaa huwa wanaandikisha watoto wao ili waingie na wachezaji.niliona kioja mzee alimwandikisha mwanae tangu siku anazaliwa aje aingie na wachezaj miaka saba baadae
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.