TUNTEMEKE
JF-Expert Member
- Jun 15, 2009
- 4,587
- 577
Wadau hivi chadema wamepata viti maalumu vingapi bungeni?pia nimesikia kwenye magazeti ya kuwa chadema kupata viti maalumu rasmi,nimeshindwa kuelewa hili coz ninachojua hivi huwa anapewa nafasi raisi ili ateuwe.kama kuna mtu anauelewa mzuri basi atujuze..