Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,798
- 71,218
Kwanini hadi Leo wabunge Wa viti maalum Upinzani hakuna ambaye kajitokeza na kusema anajiuzulu kuunga mkono juhudi za Magufuli?
Habari ambazo ziko mtaani ni kuwa hakuna sababu ya kumshawishi na kumlipa viti maalumu wakati akitoka NEC wanateua mwingine kutoka chama chake.
Tofauti na hawa Wa kuchaguliwa ambao unaitisha uchaguzi mpya na Wakurugenzi wanakumbuka maagizo kuwa "unapewa kila kitu halafu unamtangaza mpinzani kuwa kashinda?"
Kwa hiyo sababu hiyo ndio imefanya ccm isione faida ya Viti maalum kuvishawishi "kuunga mkono juhudi za JPM"
Hii ndio dhana halisi ya kudhibitisha kuwa CCM inaona bora rushwa itembee na serikali ipate hasara kurudia uchaguzi lakini wao wapate kiki kuwa wanaungwa mkono.
Hivi ni lazima utumie mbinu kuonyesha unaungwa mkono?
Habari ambazo ziko mtaani ni kuwa hakuna sababu ya kumshawishi na kumlipa viti maalumu wakati akitoka NEC wanateua mwingine kutoka chama chake.
Tofauti na hawa Wa kuchaguliwa ambao unaitisha uchaguzi mpya na Wakurugenzi wanakumbuka maagizo kuwa "unapewa kila kitu halafu unamtangaza mpinzani kuwa kashinda?"
Kwa hiyo sababu hiyo ndio imefanya ccm isione faida ya Viti maalum kuvishawishi "kuunga mkono juhudi za JPM"
Hii ndio dhana halisi ya kudhibitisha kuwa CCM inaona bora rushwa itembee na serikali ipate hasara kurudia uchaguzi lakini wao wapate kiki kuwa wanaungwa mkono.
Hivi ni lazima utumie mbinu kuonyesha unaungwa mkono?