DVT
Member
- Jul 29, 2013
- 69
- 33
Hahaaa muwe mnafanya research kwanza kabla hamjacomment pumba hapa, nembo ziko nyingi tuu ila kwa kukurupuka kwenu hamuwezi kuziona, chunguza National ID za dunia nzima ni lazima ziwe na deadline ili kuapdate taarifa, hayo mabenki yako ya manzese ndo hayatumii kwasababu wewe ni mkurugenzi kilaza, benki nyingine zoote zinavitumia kwasababu zinaelewa umuhimu na matumizi yake, wewe endelea kupiga kelele zisizo na research kama babu yako MaguHata benki za Manzese hazikitambui,mwaka wako wa kuzaliwa upo ndio code ya kitambulisho chako anagalia zile namba za kitambulisho chako zinaonyesha siku,mwezi na mwaka uliozaliwa zimeunganishwa kwapamoja,mengineyote uliyosema ni kweli