Vitambulisho vya Taifa: Maoni ya Mchungaji

Hawa viongozi mbona wanataka kufuata upepo tu?

Swali: Uganda wametumia vyombo vya usalama katika mchakato wao. Nini mazuri / mabaya tuliyojifunza kutokana na njia hiyo? (Si ajabu hatujui kutokana na mfumo kuwa wa siri.)

Kenya wametumia mfumo wazi na kuna mazuri na mabaya yaliyotokana na mfumo huo. Sisi tumejifunza nini katika huo mfumo na nini cha kufanya kuboresha huo mfumo ili tufanye kwa ufanisi zaidi?

Hawa viongozi wanataka kuleta mambo ya Meremeta hapa. Kwanza ni kwanini wabia watoke nje? Kuna vijana kibao wenye taaluma ambao wanaweza kufanya hiyo kazi hapa nchini na pia sioni haja ya kufanya mradi wa kupewa mbia mmoja badala ya ku-break down kila mkoa mtu mbia mmoja afanya hiyo kazi.

Tayari naona makosa mengi tu katika mpango mzima. Wanasema utakuwa wa miaka mitatu. Ina maana watoto hawatazaliwa tena baada ya hapo? Au hakutakuwa na vijana wanakao mature?

These people need to wake up. We are no fools anymore.
 
Inapofikia mahali watendaji wa serikali wanaomba wananchi waiamini serikali basi ni wazi kuwa wanaelewa wananchi hawana imani tena na serikali hiyo. Swali kwa viongozi lilikuwa rahisi sana, nini kifanyike kurudisha imani ya wananchi kwa serikali?. Jibu ni simple bring back the government of the people for the people by having a free and fair election. Ila kwa Tanzania hilo ni mwiko, "nipoteze ulaji wangu we! hata kuua ntaua kwenye hilo" - these are the minds sets of TZ rulers.
 
Jamani tusipotoshe taarifa iliyotolewa na chombo hicho cha habari, kinasema suala lilipofikia lishughulikiwe na Baraza la Usalama (Taifa) na sio Usalama wa Taifa as in TISS. Labda cha kujiuliza hapo hilo baraza la usalama ni kitu gani? kimajukumu ndio chombo cha juu kabisa katika sula zima la usalama wa Taifa hili na kimuundo baraza hilo linakuwa chini ya uenyekiti wa Mhe. Rais na wajumbe wake ni pamoja Waziri Mkuu na wakuu wa vyombo vyote vya ulinzi na usalama nchini. Sasa labda tuanzie hapo, je tuna imani na chombo hiki kusimamia maslahi yetu kama Taifa. Tukiondoa suala la ubinafsi unaokua kwa kasi sasa hivi miongoni mwa jamii ya Kitanzania chombo hiki ni cha kuaminiwa, ila shaka yangu inaanzia pale tu linapokuja suala la maslahi binafsi kwa maana wajumbe wote wa hiko chombo. Jambo kubwa la msingi hapa ni kufahamu kwamba wajumbe takribani wote ni wateule wa Rais. Sasa kama Rais wetu mpendwa akiwa na maslahi yoyote binafsi katika jambo lolote litakalofikishwa kwenye baraza hilo sidhani kama kuna mtu miongoni mwao wakupingana nae.
Mimi naona ipo haja ya mabadiliko ya katiba kwa maana kwamba hawa viongozi wa vyombo vya ulinzi na usalama pamoja na mapendekezo yao kutoka kwa Rais wangepaswa kuwajibika kwa bunge a hata uteuzi wao upitishwe na chombo hicho cha wawakilishi wa wananchi hapo kwa kiasi kikubwa sana tutaweza kudhibiti madudu mengi yanayotokea nchi hii na tukaanza kuvitupia lawama vyombo hivi vya usalama pasipo kujua nini tatizo hasa. Kimafunzo wanajeshi na askari ni watu wenye nidhamu, uadilifu na wawatendaji wazuri sana ila sasa kwa kuwa wanawajibika kwa wanasiasa tena mtu mmoja asiyeona machozi na kilio cha wananchi walio wengi badala yake anakumbatia kikundi cha watu wachache tu na kugawana keki ya taifa hili kumewaweka kwenye mtego mbaya hawa mabwana kiutendaji na wataishia kubeba lawama hata zisizo za kwao. Kama sheria inetungwa na kuwawekea mazingira mazuri kiuwajibikaji nina imani hawa ni watu wakuwategemea sana katika suala zima la ulinzi na usalama wetu kama taifa na rasilimali zake.
 
Wajamani, hivi wazazibar ambao kule zanzibar wanavyo vitambulisho vya Uzanzibari, watapata tena vitambulisho vya UTanzania? ili wawe navyo viwili? na je, ikitokea hivyo, sisi wabara tunapata madhara yapi? yaani tunapunjika nini, na je, hawezi mtu akafanya kosa kule zanzibar akakimbilia bara na kuukana uzanzibar, kukitupa kitambulisho cha uzanzibar na kubaki nacho kile cha Utanzania na kujiita Mtanzania? au akifanya kosa bara, si atakimbilia zanzibar na kukitupa kile cha utanzania na kubakia nacho cha uzanzibar, vipi hapo kwa security reasons in the future, sio leo.

Pili, Wazanzibar wanayo haki ya kumiliki ardhi ya bara, hata kama ni songea, bukoba, sumbawanga, etc. Hamad rashid wa cuf yule kiongozi wa upinzani anakaa Mikocheni, kule kigamboni ni makazi ya wapemba, Dar inao karibia robo ya population wazanzibar, ambao pamoja na kuwa wanakaa na kufaidi mengi tz, wanautaka uzanzibar wao. my problem here is,

1. KWANINI WABARA HAWATAKIWI KUMILIKI ARDHI ZANZIBAR? wakati wazanzibar
wanamiliki ardhi Bara? haya matatizo ya muungano hadi lini?
2. Kwanini kusiwe na vitambulisho vya uTanganyika, Uzanzibar na Utanzania?

3. Wabara waruhusiwe kumiliki ardhi zanzibar kama wanzanzibari wanavyomiliki hapa

4. Kuna Umuhimu wa kuanzisha selikali tatu awamu hii?
 
Wajamani, hivi wazazibar ambao kule zanzibar wanavyo vitambulisho vya Uzanzibari, watapata tena vitambulisho vya UTanzania? ili wawe navyo viwili? na je, ikitokea hivyo, sisi wabara tunapata madhara yapi? yaani tunapunjika nini, na je, hawezi mtu akafanya kosa kule zanzibar akakimbilia bara na kuukana uzanzibar, kukitupa kitambulisho cha uzanzibar na kubaki nacho kile cha Utanzania na kujiita Mtanzania? au akifanya kosa bara, si atakimbilia zanzibar na kukitupa kile cha utanzania na kubakia nacho cha uzanzibar, vipi hapo kwa security reasons in the future, sio leo.

Pili, Wazanzibar wanayo haki ya kumiliki ardhi ya bara, hata kama ni songea, bukoba, sumbawanga, etc. Hamad rashid wa cuf yule kiongozi wa upinzani anakaa Mikocheni, kule kigamboni ni makazi ya wapemba, Dar inao karibia robo ya population wazanzibar, ambao pamoja na kuwa wanakaa na kufaidi mengi tz, wanautaka uzanzibar wao. my problem here is,

1. KWANINI WABARA HAWATAKIWI KUMILIKI ARDHI ZANZIBAR? wakati wazanzibar
wanamiliki ardhi Bara? haya matatizo ya muungano hadi lini?
2. Kwanini kusiwe na vitambulisho vya uTanganyika, Uzanzibar na Utanzania?

3. Wabara waruhusiwe kumiliki ardhi zanzibar kama wanzanzibari wanavyomiliki hapa

4. Kuna Umuhimu wa kuanzisha selikali tatu awamu hii?
Katika hili, muungano siuelewi kabisaaaaaaaaaa..........
 
bado una ulazima? kwasababu wenzetu wanatukataa sisi tunaulazimisha kwa nguvu.
 
bado una ulazima? kwasababu wenzetu wanatukataa sisi tunaulazimisha kwa nguvu.

Rekebisha hiyo sentensi yako (kama nawe si mmoja wao)! wanaotaka muungano ni kundi dogo tu la watu wanaoona na kuonja faida ya huo muungano, sisi wananchi wa kawaida hatuuonei faida yoyote, na richa ya kuhoji kwa miaka mingi sasa hakuna jibu la maana linalotolewa zaidi ya kukubali tu kuwa muungano una kasoro nyingi! Swali hili linatakiwa litolewe majibu ya kina na sirikali ya CCM, tena tunataka atamke mkwere mwenyewe, siyo amtume yule ngumbaru wake mwenye maneno ya taarabu hata kwenye mambo sensitive.
 
Zanzibar ni nchi au siyo nchi? Mpaka kati ya Zanzibar na Tanzania ipo?
Nani mwenye amri ya mwisho kuhusu Zanzibar kati ya Rais wa JMTZ au Rais wa ZNZ?
Kodi zinazokusanywa eneo la Zanzibar zinaingizwa hazina ya serikali ya Muungano au serikali ya Zanzibar?
Uteuzi wa viongozi, matumizi ya serikali n.k ....
?????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????
 
Mimi ndo huwa siuelewi huu muungano kabisa, kwa nini tunaung'ang'ania? Tunataka serikali tatu jamani!
 
Tunataka vitambulisho vya Utanzania mara moja, lakini wazanzibari wapewe vitambulisho hivyo vikiwa na note kuwa, huyu ni Mtanzania lakini pia ni Mzanzibari.

Yaani, kwenye kitambulisho kile, sisi ambao tumekubali kubakia na Tanzania yetu, Tupate Kitambulisho cha Mtanzania. lakini mzanzibari aende akaandikishwe kulekule zanzibar na mle kwenye kitambulisho chake, iandikwe wazi kuwa huyu ni Mtanzania wa Zanzibar hivyo anao utaifa wa aina mbili. hii itasaidia. kama si hivyo, Pamoja na kwamba inauma kutamka hivi, kwasababu muungano ndo naona upo hatarini, lakini, kwanini wenzetu wazanzibar wanaifaidi Tanzania kwa ardhi etc, lakini sisi wabara hatuifaidi ardhi ya zanzibar? wabara walioko kule zenji wananyanyasika kama nini na hawana msaidizi, selikali ya bara imewatelekeza.
 
Tuombe iitishwe kura ayamaoni ya kutaka au kukataa kuwepo kwa muungano hapo wananchi wapande zote 2 yaani bara na visiwani waamue kama wanataka muungano au la,hapo ndio kitaeleweka,tofauti nahapo hakuna njia,tuanze sasa kuomba kura ya maoni kuhusu muungano mpk kieleweke.
 
tunataka vitambulisho vya utanzania mara moja, lakini wazanzibari wapewe vitambulisho hivyo vikiwa na note kuwa, huyu ni mtanzania lakini pia ni mzanzibari.

Yaani, kwenye kitambulisho kile, sisi ambao tumekubali kubakia na tanzania yetu, tupate kitambulisho cha mtanzania. Lakini mzanzibari aende akaandikishwe kulekule zanzibar na mle kwenye kitambulisho chake, iandikwe wazi kuwa huyu ni mtanzania wa zanzibar hivyo anao utaifa wa aina mbili. Hii itasaidia. Kama si hivyo, pamoja na kwamba inauma kutamka hivi, kwasababu muungano ndo naona upo hatarini, lakini, kwanini wenzetu wazanzibar wanaifaidi tanzania kwa ardhi etc, lakini sisi wabara hatuifaidi ardhi ya zanzibar? Wabara walioko kule zenji wananyanyasika kama nini na hawana msaidizi, selikali ya bara imewatelekeza.
hii nchi hairuhusu uraia wa nchi 2,swala ni utata wa muungano-nashindwa kujua ni kwa nini serikali inaogopa ku-settle maswala ya muungano-jambo ambalo litaleta matatizo makubwa sana sana sikuza uson,mimi ninanyoona ili muungano ulete maaana-inabidi zanzibar isiwe nchi kama ilivyosasa-ila iwe ni mkoa ndo mambo yatakwenda-nashindwa kujua ni faida gani haswa tuanaipata kwa kuikumbatia zanzibar
 
hii nchi hairuhusu uraia wa nchi 2,swala ni utata wa muungano-nashindwa kujua ni kwa nini serikali inaogopa ku-settle maswala ya muungano-jambo ambalo litaleta matatizo makubwa sana sana sikuza uson,mimi ninanyoona ili muungano ulete maaana-inabidi zanzibar isiwe nchi kama ilivyosasa-ila iwe ni mkoa ndo mambo yatakwenda-nashindwa kujua ni faida gani haswa tuanaipata kwa kuikumbatia zanzibar
ni kweli, zanzibar iwe mkoa, kama hawataki hiyo, basi tuwapige chini tu, tuendelee na maisha yetu. kwanini wabara hawatakiwi kumiliki aridhi kule zanzibar wakati wazanzibar wanaruhusiwa kumiliki ardhi hata bukoba.....halafu, wanachoogopa wazanzibar ni kwamba, wabara wakiruhusiwa kumiliki ardhi kule visiwani, zenji yote itajaa wabara hivyo zenji itafutika kabisa. ndio maana hata vile vitambulisho vyao vya uzanzibar, wanataka mtu aliyefikisha miaka kadhaa..mbara kama amekaa miaka miwili kule hawezi pata huo uzanzibar....tutasolve lini tatizo hili la muungano?
 
Mimi ndo huwa siuelewi huu muungano kabisa, kwa nini tunaung'ang'ania? Tunataka serikali tatu jamani!

Serikali tatu za nini??
Kila watu wawe na serikali yao mambo yaishe!
Waende kwao na sisi tubaki kwetu .... tushachoka na ubaguzi wa wa znz!
 
Serikali tatu za nini??
Kila watu wawe na serikali yao mambo yaishe!
Waende kwao na sisi tubaki kwetu .... tushachoka na ubaguzi wa wa znz!
wanakwambia sisi sote ni watz, tupendane lakini mbara ukija zenji, hakunakumiliki ardhi...umoja gani huo? tulikuwa wamoja sana, walivyoona kuna dalili za kupatikana mafuta kwao, wakaanza kusema mafuta sio suala la muungano ili wayafaidi peke yao.l...yakipatikana bara halafu kwao yakosekane itakuwaje? hawa jamaa wanatusaidiaje sisi wabara, wana faida gani? tuache watz wapige kura ya maoni au?
 
ccm sijui wanawang'ang'ania wa nini!! au ndio wanataka deal za mafuta labda .... ccm uroho na ulafu utawaua, wasisikie fununu ya maliasili ya aina yoyote.
wako tayari hata kuchimba madini kwenye mbuga za wanyama; hawa watu ni majambazi.
 
Isitoshe, Muunganao pia unataka kubadilisha tasnia nzima ya upinzani huku Bara.
 
zanzibar wana vitambulisho vya ukazi na si utaifa kuna taifa moja tu nalo ni Tanzania! asikudanganye mtu...na mie mbona nina ardhi zanzibar? na mtu wa bara?
 
Back
Top Bottom