Kivumishi Kielezi
JF-Expert Member
- Nov 1, 2019
- 1,028
- 2,448
Wakuu, naomba kujuzwa, kwanini TCRA inang'ang'ania watu wajisajili kwa kutumia vitambulisho vya NIDA pekee na si vitambulisho vingine kama vile kadi ya mpiga kura, leseni ya udereva na passport!?
Kuna nini hasa nyuma ya hizi NIDA?
Kama zoezi la usajili wa fingerprints lingekuwa na umuhimu mzito unaosemwa, basi wangeruhusu watu ambao hawana vitambulisho vya NIDA wajisajili kwa kutumia vitambulisho vingine.
Maana, la muhimu linalosemwa hapa ni usajili wa laini za simu kwa fingerprints ili tuwe na usalama wa kimtandao.
Lakini kumbe inavyoonekana, cha muhimu sio usajili wa laini za simu, bali ni kale ka kadi cha NIDA.
Naomba kufahamu, ni ipi ajenda yao ya muhimu kati ya hizi mbili:
MOJA: Watu kusajili laini za simu au,
MBILI: Watu kuwa na kadi za NIDA?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna nini hasa nyuma ya hizi NIDA?
Kama zoezi la usajili wa fingerprints lingekuwa na umuhimu mzito unaosemwa, basi wangeruhusu watu ambao hawana vitambulisho vya NIDA wajisajili kwa kutumia vitambulisho vingine.
Maana, la muhimu linalosemwa hapa ni usajili wa laini za simu kwa fingerprints ili tuwe na usalama wa kimtandao.
Lakini kumbe inavyoonekana, cha muhimu sio usajili wa laini za simu, bali ni kale ka kadi cha NIDA.
Naomba kufahamu, ni ipi ajenda yao ya muhimu kati ya hizi mbili:
MOJA: Watu kusajili laini za simu au,
MBILI: Watu kuwa na kadi za NIDA?
Sent using Jamii Forums mobile app