Vitambaa Vyeupe vya CHADEMA ni Ishara ya Kuingilia Uhuru wa Mahakama

MIMI BABA YENU

JF-Expert Member
Mar 1, 2019
295
679
Pius Kulwa
Political Analyst, *PhD*
09-03-2020

Kitendo cha CHADEMA kuwaamuru wanachama wake kufunga kitambaa cheupe na kujitokeza kwa wingi katika kesi ya viongozi wake ili kuishinikiza mahakama iwape upendeleo katika hukumu inayotarajiwa kutolewa na Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kesho Machi 10, 2020 ni Kuingilia Uhuru wa Mahakama na kuvunja demokrasia.

Kwa mujibu wa azimio 40/32 la Novemba 29, 1985 na 40/146 la Desemba 13, 1985 la Mkutano Mkuu wa Umoja wa Mataifa, mahakama zinapaswa kufanya kazi zake bila kushinikizwa na mtu au taasisi yoyote.

Hivyo vitendo vya kuvaa vitambaa hivyo na kujitokeza kwa wingi nje ya mahakama katika siku ya hukumu, vinaashiria kuwatisha mahakimu ili waweze kuwa upande wa CHADEMA hivyo kushindwa kutenda haki.

Tunawataka viongozi wa CHADEMA kuheshimu msingi huu wa demokrasia ambao unalenga kulinda amani tuliyo nayo.

Pia, CHADEMA ifahamu kuwa viongozi wao nane ambao hukumu yao huenda ikatolewa kesho, walifanya makosa ya jinai yaliyosababisha kifo cha nguvu kazi ya Taifa.

Iacheni mahakama itende haki kwa mujibu wa katiba na sheria mbalimbali. Mahakama haifuati mapendekezo ya mtu katika kutenda haki.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pius Kulwa
Political Analyst, *PhD*
09-03-2020

Kitendo cha CHADEMA kuwaamuru wanachama wake kufunga kitambaa cheupe na kujitokeza kwa wingi katika kesi ya viongozi wake ili kuishinikiza mahakama iwape upendeleo katika hukumu inayotarajiwa kutolewa na Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kesho Machi 10, 2020 ni Kuingilia Uhuru wa Mahakama na kuvunja demokrasia.

Kwa mujibu wa azimio 40/32 la Novemba 29, 1985 na 40/146 la Desemba 13, 1985 la Mkutano Mkuu wa Umoja wa Mataifa, mahakama zinapaswa kufanya kazi zake bila kushinikizwa na mtu au taasisi yoyote.

Hivyo vitendo vya kuvaa vitambaa hivyo na kujitokeza kwa wingi nje ya mahakama katika siku ya hukumu, vinaashiria kuwatisha mahakimu ili waweze kuwa upande wa CHADEMA hivyo kushindwa kutenda haki.

Tunawataka viongozi wa CHADEMA kuheshimu msingi huu wa demokrasia ambao unalenga kulinda amani tuliyo nayo.

Pia, CHADEMA ifahamu kuwa viongozi wao nane ambao hukumu yao huenda ikatolewa kesho, walifanya makosa ya jinai yaliyosababisha kifo cha nguvu kazi ya Taifa.

Iacheni mahakama itende haki kwa mujibu wa katiba na sheria mbalimbali. Mahakama haifuati mapendekezo ya mtu katika kutenda haki.



Sent using Jamii Forums mobile app
Hizo PhD za Lumumba ni bure kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cku zte chadema wakishinda kesi huwa wanaisifu mahakama! Ila wakiona meli inazama wanasema mahakama hazipo huru! Subirini kesho mi ksho nitachekaje?
 
Pius Kulwa
Political Analyst, *PhD*
09-03-2020

Kitendo cha CHADEMA kuwaamuru wanachama wake kufunga kitambaa cheupe na kujitokeza kwa wingi katika kesi ya viongozi wake ili kuishinikiza mahakama iwape upendeleo katika hukumu inayotarajiwa kutolewa na Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kesho Machi 10, 2020 ni Kuingilia Uhuru wa Mahakama na kuvunja demokrasia.

Kwa mujibu wa azimio 40/32 la Novemba 29, 1985 na 40/146 la Desemba 13, 1985 la Mkutano Mkuu wa Umoja wa Mataifa, mahakama zinapaswa kufanya kazi zake bila kushinikizwa na mtu au taasisi yoyote.

Hivyo vitendo vya kuvaa vitambaa hivyo na kujitokeza kwa wingi nje ya mahakama katika siku ya hukumu, vinaashiria kuwatisha mahakimu ili waweze kuwa upande wa CHADEMA hivyo kushindwa kutenda haki.

Tunawataka viongozi wa CHADEMA kuheshimu msingi huu wa demokrasia ambao unalenga kulinda amani tuliyo nayo.

Pia, CHADEMA ifahamu kuwa viongozi wao nane ambao hukumu yao huenda ikatolewa kesho, walifanya makosa ya jinai yaliyosababisha kifo cha nguvu kazi ya Taifa.

Iacheni mahakama itende haki kwa mujibu wa katiba na sheria mbalimbali. Mahakama haifuati mapendekezo ya mtu katika kutenda haki.



Sent using Jamii Forums mobile app

Eti Political Analyst *PHD*

Mavi yako,gerarahia!
 
Ni hivi, hukumu ya hiyo kesi imeandikwa hapo Magogoni, kubali kataa lakini habari ndio hiyo.
Sasa wakiachiwa itakuwaje! Mtasema wameogopa! Makamanda gani wanaogopa jela wakati wapigania demokrasia huwa wapo tayari kwa lolote?
Mlisababisha binti wawatu akafa lazima mlipwe hapahapa duniani.

Acheni uoga.
 
Kesho tukijaliwa nitakuwepo mubashara kabisa pale kisutu, kushuhudia yatayojiri.
 
Hivi ulicomment nini siku ile yule Bwana aliposema kuwa kuna mhimili uliyojichimbia zaidi ya mihimili mingine ....!!?
 
Pius Kulwa
Political Analyst, *PhD*
09-03-2020

Kitendo cha CHADEMA kuwaamuru wanachama wake kufunga kitambaa cheupe na kujitokeza kwa wingi katika kesi ya viongozi wake ili kuishinikiza mahakama iwape upendeleo katika hukumu inayotarajiwa kutolewa na Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kesho Machi 10, 2020 ni Kuingilia Uhuru wa Mahakama na kuvunja demokrasia.

Kwa mujibu wa azimio 40/32 la Novemba 29, 1985 na 40/146 la Desemba 13, 1985 la Mkutano Mkuu wa Umoja wa Mataifa, mahakama zinapaswa kufanya kazi zake bila kushinikizwa na mtu au taasisi yoyote.

Hivyo vitendo vya kuvaa vitambaa hivyo na kujitokeza kwa wingi nje ya mahakama katika siku ya hukumu, vinaashiria kuwatisha mahakimu ili waweze kuwa upande wa CHADEMA hivyo kushindwa kutenda haki.

Tunawataka viongozi wa CHADEMA kuheshimu msingi huu wa demokrasia ambao unalenga kulinda amani tuliyo nayo.

Pia, CHADEMA ifahamu kuwa viongozi wao nane ambao hukumu yao huenda ikatolewa kesho, walifanya makosa ya jinai yaliyosababisha kifo cha nguvu kazi ya Taifa.

Iacheni mahakama itende haki kwa mujibu wa katiba na sheria mbalimbali. Mahakama haifuati mapendekezo ya mtu katika kutenda haki.



Sent using Jamii Forums mobile app
Sina hakika kama kitambaa cheupe kitaathiri maamuzi ya majaji wa mahakama hiyo. Je wangefunga cheusi?
Wacha wakashuhudie haki ikitendeka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Polisi watakuwa wapi hadi watu wajazane hapo na vitambaa?
 
Pius Kulwa
Political Analyst, *PhD*
09-03-2020

Kitendo cha CHADEMA kuwaamuru wanachama wake kufunga kitambaa cheupe na kujitokeza kwa wingi katika kesi ya viongozi wake ili kuishinikiza mahakama iwape upendeleo katika hukumu inayotarajiwa kutolewa na Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kesho Machi 10, 2020 ni Kuingilia Uhuru wa Mahakama na kuvunja demokrasia.

Kwa mujibu wa azimio 40/32 la Novemba 29, 1985 na 40/146 la Desemba 13, 1985 la Mkutano Mkuu wa Umoja wa Mataifa, mahakama zinapaswa kufanya kazi zake bila kushinikizwa na mtu au taasisi yoyote.

Hivyo vitendo vya kuvaa vitambaa hivyo na kujitokeza kwa wingi nje ya mahakama katika siku ya hukumu, vinaashiria kuwatisha mahakimu ili waweze kuwa upande wa CHADEMA hivyo kushindwa kutenda haki.

Tunawataka viongozi wa CHADEMA kuheshimu msingi huu wa demokrasia ambao unalenga kulinda amani tuliyo nayo.

Pia, CHADEMA ifahamu kuwa viongozi wao nane ambao hukumu yao huenda ikatolewa kesho, walifanya makosa ya jinai yaliyosababisha kifo cha nguvu kazi ya Taifa.

Iacheni mahakama itende haki kwa mujibu wa katiba na sheria mbalimbali. Mahakama haifuati mapendekezo ya mtu katika kutenda haki.



Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ni mzima kabisa au umeamua kujipa upungufu?

Nijuavyo, na walivyoandika kwenye waraka wao, wamesema watavaa na kujaa mahakamani kuishinikiza mahakama itende haki maana kuna kila dalili ya mfumo wa mahakama kuchezewa na serikali ili isitende haki.

Na kwa mtu yeyote mkweli wa nafsi yake, ambaye Roho yake haitawaliwi na shetani, atakiri ukweli wa kuwa katika awamu hii, mahakama imeingiliwa na serikali na CCM.

Katibu mkuu wa CCM anaenda kwa Jaji Mkuu kujadili maamuzi ya mahakama. Hilo wewe umewahi kulishuhudia mahali popote Duniani zaidi ya Tanzania? Haya mambo watu wanaona na wanayajua.

Mathalani kwenye hii kesi, hivi kweli kwa mtu mwadilifu utasema kuna kesi hapa ya maafisa wa CHADEMA kujibu? Sote tunajua;
1) Akwilina (RIP binti uliondolewa uhai wako na mawakala wa shetani na adhabu ya Mungu tunaomba waionje) aliuawa na Polisi

2) Aliyesababisha hayo yote ni Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ambaye alikuwa hataki kuwaapisha mawakala wa mgombea wa CHADEMA.

Kama tunatafuta aliyesababisha na aliyeua, kwa nini DED na Polisi wauaji, hawakushtakiwa? Ndiyo maana tinasema yanayoendelea kwenye kesi hii, ni kazi ya shetani. Shetani yule yule aliyemwua binti asiye na hatia, huyo huyo anatafuta watu wengine wa kuwaonea.

WALAANIWE WAO NA WANA WAO NA WANA WA WATOTO WAO, WALIOMWUA AKWILINA. WALAINIWE WANAOBAMBIKIZIA WATU KESI. WALAANIWE WANAOWALINDA WAUAJI NA ANAYEMLINDA MKURUGENZI ALIYESABABISHA MAANDAMANO.
 
Sasa wakiachiwa itakuwaje! Mtasema wameogopa! Makamanda gani wanaogopa jela wakati wapigania demokrasia huwa wapo tayari kwa lolote?
Mlisababisha binti wawatu akafa lazima mlipwe hapahapa duniani.

Acheni uoga.
KWA TUNAOJUA MAANA YA HAKI MUUWAJI LAZIMA ANGEONGANISHWA KWENYE KESI. KUTOKUMWEKA MUUWAJI TAYARI NI KUTOKUTENDA HAKI. Hapo hakuna haki yoyote ile zaidi ya kuwapendezesha wakuu. Hata mbele za MUNGU WA HAKI hawana makosa
 
Back
Top Bottom