Vitalis Maembe: Makonda shika adabu yako, Chuo cha Sanaa Bagamoyo si sawa na wasafi wa nguo

Halafu Makonda hajui kitu, kwasababu chuo cha sanaa Bagamoyo kimefanywa kuwa ni taasisi ya serikali kwa miaka mingi sasa, na yeye kama kama kiongozi wa serikali halikuwa hajui hilo pia.
 
Kwa taarifa yako, walimu wa pale wanatoka sehemu mbalimbali Duniani, na hata Watanzania waliokuwepo wanaijua sanaa kuliko wewe na Makonda.
Sitaki kuwa mbishi mbishi napatembelea week end mi nlionaga hamna lolote 2017
 
Sitaki kuwa mbishi mbishi napatembelea week end mi nlionaga hamna lolote 2017


Labda nikufahamishe tu, tangu Chuo kile kimefanywa kuwa taasisi ya kiserikali (TaSuBa). Yaani taasisi ya sanaa Bagamoyo, hapo ndio mambo yalianza kwenda mrama. Kumekuwa na malalamiko mengi kutoka kwa wasanii.
Wasanii hawapewi kipaumbele tena, si unajua serikali imeshaingia. Rushwa imetawala, ubinafsi na undugu imejaa. Wenye nafasi ndio wanakula keki hata kama hawastahili tofauti na zamani. Serikali imepora nafasi ya wasanii.
Kaa ukijua kuna watu ambao walipita chuo cha sanaa enzi hizo ukisikia majina yao maneno ya Makonda utayaona takataka.
 
Mi 2017 sio tu niliona hayo Bali na mwalimu walikuwa amepitwa na wakati
 
Kujua kutumia computer sio kigezo, sidhani utasema Marehemu Morris Nyunyusa ambae nina Imani hakuwa anajua kutumia computer au hata kama alikuwa na elimu hii ya kisasa, basi hakuwa msanii Gwiji!!! Hivyo naweza sema Marehemu Dr Hukwe Zawose, Marehemu Mwinamila na magwiji wengine wa Sanaa.
 
Mkuu walikuwa wazuri kwa muda wao kama kwenye bongoflave alivuokuwa mr nice.mkuu james bond alikuwa mzuri ila leo technology ilivyo huwezi tenga sanaa na computer leo tena .
 
Mkuu walikuwa wazuri kwa muda wao kama kwenye bongoflave alivuokuwa mr nice.mkuu james bond alikuwa mzuri ila leo technology ilivyo huwezi tenga sanaa na computer leo tena .
Mkuu nakuelewa vyema kuna Sanaa na Sanaa, hizi za asili za kwetu sijui kama tumefikia wasaani nguli kwenye fani hiyo kuwa na ulazima wa kujua teknolojia za kisasa maana ubunifu wao hautegemee teknolojia. Nakuelewa sana Mkuu. Ila upande mwingine tudumishe Sanaa ie muziki wetu wa asili ambao ndio haswa chimbuko la haya ya kisasa. Pamoja sana...
 
Umeandika kistaarabu na kwa weledi mkubwa .Sina budi kutamka nimezingatia na nitazingatia
 
Nice
 
Halafu Makonda hajui kitu, kwasababu chuo cha sanaa Bagamoyo kimefanywa kuwa ni taasisi ya serikali kwa miaka mingi sasa, na yeye kama kama kiongozi wa serikali halikuwa hajui hilo pia.
Kiazi yule
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…