SolarPower
JF-Expert Member
- Jan 17, 2011
- 223
- 27
Wakuu,
Katika juhudi cha kujenga utamaduni wa kuwekeza katika vitabu na kuvisoma katika ngazi ya familia, naomba utusaidie kujua vitabu visivyozidi vitano vilivyoandikwa na Watanzania kwa lugha ya Kiswahili ambavyo unaamini kuwa kama kila familia ikivisoma, basi familia zetu zitafaidika na kuboreka zaidi hasa baada ya kuyafanyia kazi kwa vitendo yale yaliyomo ndani ya vitabu hivyo.
Itapendeza zaidi kama utataja piajina la mwandishi wa kila kitabu.
Katika juhudi cha kujenga utamaduni wa kuwekeza katika vitabu na kuvisoma katika ngazi ya familia, naomba utusaidie kujua vitabu visivyozidi vitano vilivyoandikwa na Watanzania kwa lugha ya Kiswahili ambavyo unaamini kuwa kama kila familia ikivisoma, basi familia zetu zitafaidika na kuboreka zaidi hasa baada ya kuyafanyia kazi kwa vitendo yale yaliyomo ndani ya vitabu hivyo.
Itapendeza zaidi kama utataja piajina la mwandishi wa kila kitabu.