Vita ya urais 2025: Tundu Lisu vs Humphrey Polepole

Kulwa Jilala

JF-Expert Member
Sep 6, 2022
3,510
7,755
Tundu Lisu kwenye hotuba zake hazungumzii uchumi, ajira wala viwanda, hawezi kutaja hata maendeleo ya barabara wala vifaa tiba mahosipitalini.

Yeye kwa miaka mitano ni kuelezea tu alivyopigwa risasi, basi, na anaonyesha wazi namna anavyoshirikiana na makampuni ya kibeberu kunyonya rasilimali za taifa. Kwa upande mwingine, Humphrey Polepole anayezungumzia namna ya kukuza uchumi wa nchi, kuongeza ajira kupitia viwanda, na namna ya kusogeza huduma kwa wananchi kama barabara, mahospitali, na mazingira bora ya ufanyaji biashara kwa wamachinga.

Anazungumzia namna ya kulinda rasilimali za nchi yetu kutoka kwa wanyonyaji mabeberu. Kwa hiyo, watanzania siyo wajinga na watachagua Humphrey Polepole, mtetezi wa rasilimali zao.
 
Nchi hii haitaongozwa na watu wenye visasi, Lissu anataka awe Rais ili alipize kisasi, sisi kama nchi, hatukutengeneza taasisi ya Urais kama sehemu ya kulipia kisasi. Ndio maana yule Mrundi alishindwa ku fit, akawa anauwa watu Kila sekunde.

Polepole anaamini yule bwege wake Mungu alikosea kumfyeka, kwa hiyo anatembea na listi ya watu ambao anaamini kundi lake likipata urais, liwamalize, baadae waokotwe kwenye viroba.

NOTE: Polepole hawezi kuwa Rais, urais wa Tanzania wanaoupata sio wale wanaoutaka kwa udi na uvumba. Mnakuwa na li Rais la hovyo linakata viuno tu mitandaoni
 
Tundu Lisu kwenye hotuba zake hazungumzii uchumi, ajira wala viwanda, hawezi kutaja hata maendeleo ya barabara wala vifaa tiba mahosipitalini.

Yeye kwa miaka mitano ni kuelezea tu alivyopigwa risasi, basi, na anaonyesha wazi namna anavyoshirikiana na makampuni ya kibeberu kunyonya rasilimali za taifa. Kwa upande mwingine, Humphrey Polepole anayezungumzia namna ya kukuza uchumi wa nchi, kuongeza ajira kupitia viwanda, na namna ya kusogeza huduma kwa wananchi kama barabara, mahospitali, na mazingira bora ya ufanyaji biashara kwa wamachinga.

Anazungumzia namna ya kulinda rasilimali za nchi yetu kutoka kwa wanyonyaji mabeberu. Kwa hiyo, watanzania siyo wajinga na watachagua Humphrey Polepole, mtetezi wa rasilimali zao.
Mkuu Achana Lisu huyo, iyo machine nyingine
 
Tundu Lisu kwenye hotuba zake hazungumzii uchumi, ajira wala viwanda, hawezi kutaja hata maendeleo ya barabara wala vifaa tiba mahosipitalini.

Yeye kwa miaka mitano ni kuelezea tu alivyopigwa risasi, basi, na anaonyesha wazi namna anavyoshirikiana na makampuni ya kibeberu kunyonya rasilimali za taifa. Kwa upande mwingine, Humphrey Polepole anayezungumzia namna ya kukuza uchumi wa nchi, kuongeza ajira kupitia viwanda, na namna ya kusogeza huduma kwa wananchi kama barabara, mahospitali, na mazingira bora ya ufanyaji biashara kwa wamachinga.

Anazungumzia namna ya kulinda rasilimali za nchi yetu kutoka kwa wanyonyaji mabeberu. Kwa hiyo, watanzania siyo wajinga na watachagua Humphrey Polepole, mtetezi wa rasilimali zao.
Mhhh umechemka
 
Lissu hata mwenyekiti wa kijiji hafai, kwanini? Sababu zipo wazi..👇👇

Let's go, kibinadamu hana human qualities za leadership, hana hekima, adabu, busara, nidhamu, heshima, staha, uaminifu, hana siri, hana utulivu, hana ustaarabu, hana leadership appearance, hana umoja, hana utii, hana unyenyekevu, hana ushirikiano, hana uvumilivu, in short haeleweki kesho atakuwa mtu wa aina gani, yaani unpredictable..!!

Kisiasa, hana sera, mipango, hoja, hana dira kabisa, mikakati hana, hana,..... hanaa..... Kazi kubwa anayofanya ni ku attack CCM, Serikali na Personalities za watu tu na 80% za kelele zake ni jinsi alipigwa risasi, hasemi hata kidogo atafanya nini akipata uongozi, yaani ni political activist tu, asiye na hili wala lile..!! Hana A au B, nasema kweli, msikikize vema kama ana hata mpango mmoja wa kuletea nchi maendeleo, ni kelele tu kama walokole kutwa kucha, usiku kucha kelele au kuku katoka kutaga mayai.
 
Tundu Lisu kwenye hotuba zake hazungumzii uchumi, ajira wala viwanda, hawezi kutaja hata maendeleo ya barabara wala vifaa tiba mahosipitalini, yeye kwa miaka mitano ni kuelezea tu alivyopigwa risasi basi, na anaonyesha wazi namna anavyoshilikiana na makampuni ya kibeberu kunyonya rasilimali za taifa Vs Humphrey Polepole anayezungumzia namna ya kukuza uchumi wa nchi, kuongeza ajira kupitia viwanda ,na namna ya kusogeza huduma kwa wananchi kama barabara ,mahosipitali na mazingira bora ya ufanyaji biashara kwa wamachinga, anazungumzia namna ya kulinda rasilimali za nchi yetu kutoka kwa wanyonyaji mabeberu.
Nani atashinda? Watanzania siyo wajinga watachagua Humphrey Polepole mtetezi wa rasilimali zao.
Hivi Polepole anaweza kuwa Rais wa nchi? Are you really serious?
 
Lissu hata Mwenyekiti wa kijiji hafai, kwanini? Sababu zipo wazi..

Let's go, kibinadamu hana human qualities za leadership, hana hekima, adabu, busara, nidhamu, heshima, staha, uaminifu, hana siri, hana utulivu, hana ustaarabu, hana leadership appearance, hana umoja, hana utii, hana unyenyekevu, hana ushirikiano, hana uvumilivu, in short haeleweki kesho atakuwa mtu wa aina gani, yaani unpredictable..!!

Kisiasa, hana sera, mipango, hoja, hana dira kabisa, mikakati hana, hana,..... hanaa..... Kazi kubwa anayofanya ni ku attack CCM, Serikali na Personalities za watu tu na 80% za kelele zake ni jinsi alipigwa risasi, hasemi hata kidogo atafanya nini akipata uongozi, yaani ni political activist tu, asiye na hili wala lile..!! Hana A au B, nasema kweli, msikikize vema kama ana hata mpango mmoja wa kuletea nchi maendeleo, ni kelele tu kama walokole kutwa kucha, usiku kucha kelele au kuku katoka kutaga mayai.
Let's go, kibinadamu hana human qualities za leadership, hana hekima, adabu, busara, nidhamu, heshima, staha, uaminifu, hana siri, hana utulivu, hana ustaarabu, hana leadership appearance, hana umoja, hana utii, hana unyenyekevu, hana ushirikiano, hana uvumilivu, in short haeleweki kesho atakuwa mtu wa aina gani, yaani unpredictable..!!


Yaani sifa hizo wanazo Wehu,vichaa, wendawazimu, wabaguzi, wabinafsi, wakatili na wasioweza kusamehe
 
Tundu Lisu kwenye hotuba zake hazungumzii uchumi, ajira wala viwanda, hawezi kutaja hata maendeleo ya barabara wala vifaa tiba mahosipitalini, yeye kwa miaka mitano ni kuelezea tu alivyopigwa risasi basi, na anaonyesha wazi namna anavyoshilikiana na makampuni ya kibeberu kunyonya rasilimali za taifa Vs Humphrey Polepole anayezungumzia namna ya kukuza uchumi wa nchi, kuongeza ajira kupitia viwanda ,na namna ya kusogeza huduma kwa wananchi kama barabara ,mahosipitali na mazingira bora ya ufanyaji biashara kwa wamachinga, anazungumzia namna ya kulinda rasilimali za nchi yetu kutoka kwa wanyonyaji mabeberu.
Nani atashinda? Watanzania siyo wajinga watachagua Humphrey Polepole mtetezi wa rasilimali zao.
Hatutaki maraisi wafu?
 
Back
Top Bottom