<br />Huyu Mayor Masaburi anataka kuleta balaa. Anasema <i><b>'zabuni itangazwe ili wafanyabiashara wakubwa nao wapate nafasi katika jengo hilo'</b></i>. Really? Hivi inawezekana kuwa kusudi kubwa la Masaburi kuvunja bodi, kufukuza baadhi ya machinga ni mkakati wake wa kuwapatia nafasi 'wafanyabiashara wakubwa? Kama ndivyo, nini hasa maana ya kujenga jengo la Machinga? Kwanza machinga ni mtu wa aina gani? <br />
<br />
Nashauri Mh Zungu aandae maandamano. Bila hivyo huyu Mayor wa Dar es Salaam atauza hili jiji lote. Ana kila dalili za kuwa mtu katili. Hana huruma hata kidogo kufukuza watu wadogo kama machinga kwa kisingizio cha kupata kodi kubwa toka wafanyabiashara wakubwa! Hawa waliofukuzwa walishe vipi familia zao? Kama sio kusukuma watu kuwa vibaka ni nini hasa huyu mayor anafanya? Maandamano Mh Zungu tafadhali.
Mbunge Zungu akishindwa kuitisha maandamano basi CDM chukueni hiyo nafasi ya kutetea watu wanyonge wasidhurumiwe haki zao na mafisadi!!!!!!!!!!!!! Masaburi hatumii akili, anafikiri kwa kutumia viatu!!!!!!!!Huyu Mayor Masaburi anataka kuleta balaa. Anasema 'zabuni itangazwe ili wafanyabiashara wakubwa nao wapate nafasi katika jengo hilo'. Really? Hivi inawezekana kuwa kusudi kubwa la Masaburi kuvunja bodi, kufukuza baadhi ya machinga ni mkakati wake wa kuwapatia nafasi 'wafanyabiashara wakubwa? Kama ndivyo, nini hasa maana ya kujenga jengo la Machinga? Kwanza machinga ni mtu wa aina gani?
Nashauri Mh Zungu aandae maandamano. Bila hivyo huyu Mayor wa Dar es Salaam atauza hili jiji lote. Ana kila dalili za kuwa mtu katili. Hana huruma hata kidogo kufukuza watu wadogo kama machinga kwa kisingizio cha kupata kodi kubwa toka wafanyabiashara wakubwa! Hawa waliofukuzwa walishe vipi familia zao? Kama sio kusukuma watu kuwa vibaka ni nini hasa huyu mayor anafanya? Maandamano Mh Zungu tafadhali.
Huyu masaburi ana digrii ya kuvunja bodi nini?....UDA.........Machinga Complex....next?
Wewe pia huna lolote wamachinga wamelalamika muda mrefu hata Kikwete analielewa hili kuwa pale happana biashara kwa sababu ya lile soko la ilala.Hoja yako ni nzuri mno ila umeitoa kwa jazba mno kiasi naona kama onaenda offtrack (maono yangu), mimi simuungi mkono juu ya hoja ya kuwapa wafanyabiashara wakubwa, lakini nilivyomuelewa ni kuwa wale wanaohodhi yale maeneo na hawatumii wanyanganywe (kama ni kweli big up). Sasa sijui unataka zungu aandamane kutetea kuwa hii cemplex iendelee kuwa danguro na kijiwe cha mihadarati (kama ilivyosasa) au huna habari hii?, namuunga mkono Mayor kuwatimua wanaomiliki vizimba sasa kwa sababu hawavitumii.
<br />
<br />
<br />Wewe pia huna lolote wamachinga wamelalamika muda mrefu hata Kikwete analielewa hili kuwa pale happana biashara kwa sababu ya lile soko la ilala.<br />
Wakati watu wanasubiri soko la ilala livunjwe na watu warudi machinga yeye anakuja na mbinu zake za kutaka kujinufaisha kwa ajiri ya machinga.<br />
<br />
Avunje kwanza mchikichini halafu na machinga wamchikichini warudi i katika vizimba vyao huko machinga complex