Vita ya maneno kati ya Rwanda na Burundi: Ina maana Ndayishimiye hajui tu kama amekalia kuti kavu?

Umemuandika Ndayishimiye kama mtu binafsi zaidi na sio kama Rais aliyeapa kuilinda Burundi.

Wasi wasi wako mkubwa upo kwenye Urais wake na sio Burundi.

Uenda, hana uchungu na urais wake kuliko Nchi yake.
Sasa kama anajipenda yeye na nchi ni bora angetumia ujuzi wake kuepusha vita kati ya nchi hizo mbili maana bila hivyo itakula kwake.
 
Nakubali asilimia mia Fdrl wana silaha kali sana za kivita ila tatizo lao moja ,majeshi ya Congo kutelekeza silaha na kutimua mabio uwanja wa vita ni kawaida sana
Mwanajeshi anaenda vitani huku ana redio akifika sehemu anaweka bunduki chini, anawasha redio na kuanza kumsikiliza falii pupaa huku akikataa mauno kama yote.

Akija kushtuka M23 wapo nyuma yake, wanamnyang'anya silaha na kumuua au kumteka.
 
Wampige mande majirani zake wote aliohasimiana nao DRC&Burundi najua Uganda anaweza toa msaada hata asipokuwa Frontline.
Hapana Uganda hatoingilia maana wana kaundugu fulani. Burundi na Congo wanaweza kujiunga, ila tatizo Burundi itajikuta inapambana peke yake huku jeshi la Congo likiwa limetimkia Lubumbashi kwenye shoo ya Kofi Olomide.
 
Kwamba ww unataarifa kuliko raisi wa nchi ya burundi?

Taarifa za jeshi ni siri, we Uganda umeipimaje?

Punguza kushinda karume pale kijiweni
Unaweza kuwa raisi lakini baadhi ya mambo ukawa huyajui mpaka watu wa pembeni kama sisi tukuambie.
 
Ndayishimiye watu tunamjua kabla hata ya vita vya Burundi kuanza. Nnachoshauri asije akafuata ushauri wa mtu kama wewe baadae akaja kujilaumu kwa ujinga ataotumia kujipima ubavu na Rwanda.
 
Kweli ....tatizo la askari wa kagame lipo kwenye akili ....akili zao zinadhani urefu wao ndiyo akili hivyo ni rahisi sana kuwashinda kivita ....kwa sasa askari wa kagame congo wanauliwa kama kumbikumbi
Mkuu umetumia cha Arusha au cha mw/nyamala?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…