Vita ya Israel na Hamas: tunahitaji mwaka mzima kuishinda Hamas.

ITR

JF-Expert Member
Sep 22, 2022
4,452
11,373
Msemaji wa serikali ya Israel amesema kuwa anahitaji mwaka mzima wa 2024 ili waweze kuishinda Hamas.

Israel imetangaza kuondoa kiasi kikubwa cha wanajeshi ndani ya gaza ili kurudi Israel kwa ajili ya kujipanga upya, wachambuzi wanasema hatua hiyo ya Israel ni kutokana na hasara ya vifaa vya kijeshi,vifo na majeruhi kuongezeka kuliko kawaida na upinzani usio wa kawaida walio upata kutoka kwa wapiganaji wa kipalestina.
Hata hivyo hatua hiyo ya Israel ina wapa faida zaidi wapiganaji wa kipalestina maana watapata muda mwingi wa kupumzika baada ya siku 86 za mapigano makali na wataweza kujaza hifadhi ya silaha zao kwa ajili ya mapambano ya muda mrefu.
Pia kumeripotiwa mgawanyiko kwenye baraza la vita lililo undwa na Netanyau hatua iliyo pelekea Netanyau kumfuta kazi waziri wake wa mambo ya nje.
Screenshot_20240101-201556.jpg
 
Msemaji wa serikali ya Israel amesema kuwa anahitaji mwaka mzima wa 2024 ili waweze kuishinda Hamas.

Israel imetangaza kuondoa kiasi kikubwa cha wanajeshi ndani ya gaza ili kurudi Israel kwa ajili ya kujipanga upya, wachambuzi wanasema hatua hiyo ya Israel ni kutokana na hasara ya vifaa vya kijeshi,vifo na majeruhi kuongezeka kuliko kawaida na upinzani usio wa kawaida walio upata kutoka kwa wapiganaji wa kipalestina.
Hata hivyo hatua hiyo ya Israel ina wapa faida zaidi wapiganaji wa kipalestina maana watapata muda mwingi wa kupumzika baada ya siku 86 za mapigano makali na wataweza kujaza hifadhi ya silaha zao kwa ajili ya mapambano ya muda mrefu.
Pia kumeripotiwa mgawanyiko kwenye baraza la vita lililo undwa na Netanyau hatua iliyo pelekea Netanyau kumfuta kazi waziri wake wa mambo ya nje.View attachment 2859518
Huo mwaka mzima uchumi wa taifa teule utskuwa hoi bin taaban

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
 
Msemaji wa serikali ya Israel amesema kuwa anahitaji mwaka mzima wa 2024 ili waweze kuishinda Hamas.

Israel imetangaza kuondoa kiasi kikubwa cha wanajeshi ndani ya gaza ili kurudi Israel kwa ajili ya kujipanga upya, wachambuzi wanasema hatua hiyo ya Israel ni kutokana na hasara ya vifaa vya kijeshi,vifo na majeruhi kuongezeka kuliko kawaida na upinzani usio wa kawaida walio upata kutoka kwa wapiganaji wa kipalestina.
Hata hivyo hatua hiyo ya Israel ina wapa faida zaidi wapiganaji wa kipalestina maana watapata muda mwingi wa kupumzika baada ya siku 86 za mapigano makali na wataweza kujaza hifadhi ya silaha zao kwa ajili ya mapambano ya muda mrefu.
Pia kumeripotiwa mgawanyiko kwenye baraza la vita lililo undwa na Netanyau hatua iliyo pelekea Netanyau kumfuta kazi waziri wake wa mambo ya nje.View attachment 2859518
Eti wanakwenda kujipanga upya ili kuja tena kuzichapa na Hamas vita vya muda mrefu 😂😂🙈🙈


Kitu gani cha ziada atakacho kifanya Israel zaidi ya alichokifanya?? Watakapoludi watawakuta Hamas ktk level nyingine kabisa na ya hatari zaidi
 
Nimesoma hiyo title kiukweli nimesikia aibu.
Yani taifa linaloaminika na wajinga kuwa ni teule, na tena lenye teknolojia ya juu kabisa katika maswala ya kijeshi linasumbuliwa kwa muda wote huuu na kasehemu kadogo like wilaya ya Bagamoyo!!

Sent from my Redmi 8A using JamiiForums mobile app
Tena wamekafanya kisiwa kwa kukazunguka pande zote kiasi kwamba watu wa gaza hawawezi hata nunua trector mpya wazayuni wasijue. Hata gunia la mchele kuingia gaza mpaka wayahudi wajue. Sasa mtu wa hivyo unapigana nae miezi mitatu kweli
 
Tena wamekafanya kisiwa kwa kukazunguka pande zote kiasi kwamba watu wa gaza hawawezi hata nunua trector mpya wazayuni wasijue. Hata gunia la mchele kuingia gaza mpaka wayahudi wajue. Sasa mtu wa hivyo unapigana nae miezi mitatu kweli
Huu ni uzushi, Israel waliondoka Gaza toka 2015, eneo lilikuwa chini ya Hamas, ndio maana waliingiza silaha za kutosha kwa ajili ya ugaidi wao, mipaka yote walitawala wao isipokuwa mpaka Kati ya Israel na Gaza, Ile mpaka wa misri ulikuwa chini yao, pamoja na eneo la bahari.

Kwa hio mizigo iliyokuwa inaingia Gaza haikuhitaji kibali cha Israel, Ni serikali ya Hamas ndio iliyohusika
 
Huu ni uzushi, Israel waliondoka Gaza toka 2015, eneo lilikuwa chini ya Hamas, ndio maana waliingiza silaha za kutosha kwa ajili ya ugaidi wao, mipaka yote walitawala wao isipokuwa mpaka Kati ya Israel na Gaza, Ile mpaka wa misri ulikuwa chini yao, pamoja na eneo la bahari.

Kwa hio mizigo iliyokuwa inaingia Gaza haikuhitaji kibali cha Israel, Ni serikali ya Hamas ndio iliyohusika
Haya tumekusikia hongera kwakuchangia umeonekana nawewe
Ila ghaza ipo kwenye mzingiro muda mrefu sana
Huko unaposema rafah na bado wanaingiza vitu chini ya uangalizi mzito wa misri
Yaani kama angekua mursi marehem yupo hapo israhell wangeondoka hapo kweupeeeeeee
 
Haya tumekusikia hongera kwakuchangia umeonekana nawewe
Ila ghaza ipo kwenye mzingiro muda mrefu sana
Huko unaposema rafah na bado wanaingiza vitu chini ya uangalizi mzito wa misri
Yaani kama angekua mursi marehem yupo hapo israhell wangeondoka hapo kweupeeeeeee
Sasa Rafah wanaingiza mizigo "chini ya uangalizi wa Misri' kwanini sio uangalizi wa Israel, Ni kwa sababu hawakuwepo, misri walidhibiti upande wao, huku Hamas wakiwa upande wa Gaza, ndio maana sasa Netanyahu anataka kudhibiti huo mpaka wote wa Misri'
 
Back
Top Bottom