Brothers Karamazov
Senior Member
- Jul 13, 2023
- 152
- 391
Kuna uzi hapa niliuweka juu ya kisa cha huyu. Kuna member alinieleza kuwa hakupigana Kagera war.kuna col Dominic Nshimanyi aliongoza moja ya vikosi vya infantry naona haujamtaja,baadae alikuja kunyongwa kwa kesi ya mauaji.
Sad story ni kwamba mabint wake wawil ambao nilisoma nao walijiua kwa nyakat tofaut miaka ya 1994 na 2010