johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,996
- 142,010
Mwaka Ule wa Vita ya Kagera majeshi yetu yalivyoingia ndani ya Uganda lengo lilikuwa Moja tu kumsaka Nduli Idd Amin na Siyo kuua Wanawake na Watoto wa Uganda wasio na hatia
Mungu wa mbinguni awabariki sana Wanajeshi wetu
Mungu wa mbinguni mrehemu Julius Nyerere
Mungu wa mbinguni awabariki sana Wanajeshi wetu
Mungu wa mbinguni mrehemu Julius Nyerere