Kama unaweza kuona kuna habari ambazo mimi mwenyenywe nilikuwepo na kuna habari kutoka vyanzo vingine ambavyo mimi sikuwepo mfano kasese mimi sikupita huko habari zingine toka vikosi vingine nimezipata toka kwa jamaa zangu ambao tulikuwa nao vitani lakini vikosi tofauti Mfano lt Emmanuel Nyangasa alipitia Mbarara lt juma Ramadhani alipitia masaka na mimi mwenyewe ambao tuanzia Mtukula na kuendelea sehemu pili utanielewa vizuri nitaambatanisha na picha nyingi tu zangu mwenyewe na za wengine maana tulibahatika kuwa na mwandishi wa habari kwenye platoon.Najua sana kutakuwa na challenge nyingi sana maana hapa ni kwa GREAT-THINKERS.Halafu kuna jamaa anaitwa Kichuguu nae alitoa historia yake ya Vita ya Kagera naona maelezo yake yako humu copy and paste anyway labda ni coincdence am not accusing..!!!!!
Halafu kuna jamaa anaitwa Kichuguu nae alitoa historia yake ya Vita ya Kagera naona maelezo yake yako humu copy and paste anyway labda ni coincdence am not accusing..!!!!!
Usituchafulie uzi wewe!
Basi we kila ukitoa pua yako ni kuchafua mazingira tu!
Hivi wewe huna wazee kwenu!?
Kama unaweza kuona kuna habari ambazo mimi mwenyenywe nilikuwepo na kuna habari kutoka vingine ambavyo mimi sikuwepo mfano kasese mimi sikupita huko habari zingine toka vikosi vingine nimezipata toka kwa jamaa zangu ambao tulikuwa nao vitani lakini vikosi tofauti Mfano lt Emmanuel Nyangasa alipitia Mbarara lt juma Ramadhani alipitia masaka na mimi mwenyewe ambao tuanzia Mtukula na kuendelea sehemu pili utanielewa vizuri nitaambatanisha na picha nyingi tu zangu mwenyewe na za wengine maana tulibahatika kuwa na mwandishi wa habari kwenye platoon.Najua sana kutakuwa na challenge nyingi sana maana hapa ni kwa GREAT-THINKERS.
Nshimanyi na wengine wengi sana wametajwa kwenye sehemu ya pili ya historia hii vuta subira nitaitoa mda si mrefu.
Nakuunga mkono kabisa kwa hili la kuandila vitabu na kusimulia ni nini kilikuwa kinatokea uwanja wa vita..echolimo,
..kuna vitabu 3 kuhusu vita vya Kagera.
..kuna kimoja kimeandikwa na waingereza waandishi wa habari.
..halafu kingine kimeandikwa nadhani na Lt.Col.Ngatuni.
..kitabu cha tatu nimesahau kimeandikwa na nani, sijakiona muda mrefu, lakini nakitafuta sana. kimeandikwa kwa kiswahili na kiko very detailed kwa kumbukumbu zangu. unaweza kunikumbusha kuhusu kitabu hicho na wapi naweza kukipata??
..tafadhali, tafadhali, andika kitabu au hata vitabu kuhusu hii vita. mlifanya kazi KUBWA sana and I dont think it has been adequately documented.
..wale majenarali wote walioongoza vita walitakiwa waandike experiences zao kuhusu vita ile. zaidi, walitakiwa wawe wanazunguka ktk vyuo mbalimbali vya kijeshi kutoa mihadhara.
..andikeni hata operation za Seychelles, Comoro[nadhani walikwenda mara mbili], Msumbiji, na Zimbabwe.
NB:
..ambush ya Lukaya, maandilizi yake, washiriki wake, etc etc, inaweza kuwa kitabu peke yake.
ccgobore, Moshe Dayan, Shwari, Jasusi, Mzee Mwanakijiji
yaani inashangaza sanawatoto wajifunze, wakikwaruzwa kidogo kule jkt kelele kibao
Mkuu Echolima,
Zile biskuti mlizokuwa mnakula vitani zilikuwa za nini mbona zilikuwa ngumu sana.
Na yale maharage ya kopo, pamoja na nyama ya kopo, zilikuwa zinatoka wapi.
Naomba unipe darsa kaka.
Echolima,Kwangu mimi kiingereza ni lugha ya kigeni simtaalaamu kama wewe au wengine pamoja na kwamba naweza kuandika historia hii kwa kiingereza najua naweza sehemu kukosea,labda kwa faida yako nimesoma Marekani kwa mwaka mmoja Israel miaka mitatu na iliyokuwa USSR UKRANE Mwaka mmoja hivyo kuchapia kwa kiingereza naweza kukosea tu maana si lugha ya mama.