Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 15,747
- 50,145
Hujanielewa! Mimi naona kama hicho kiasi ni kidogo ina mimi nitoke Mlandizi hadi Kigali kwenda na kurudi bado kuna mizururo mingi huko Rwanda kwa kiasi hicho? Ndo maaana nawaza labda min -me anaongezea panapopelea.Tafuta hela mkuu mbona ni kiasi kidogo sana..
Harakati tu za kumsupport mwanao SeranKwa nini niongeze mimi bwashee
👊👊👊Tuwakilishe vizuri!Hiyo imeisha bwashee, sema huyo ni bibie
Naona matapeli mnateteana !?Sometimes inakera, mtu ameshaambiwa sawa bado anakuzonga tu na kupayuka hovyo kama amemeza memorycard kwenye kitambi.
Kwani tapeli huwa analazimisha mtu !?Kijana ebo! Hebu kuwa na adabu basi, ya nini kuharibu biashara za watu kwani umemsikia wapi amelazimisha mtu?
Panavutia sana, na ni suggestion ya watu wengi mwkaa jana tulienda wakataka irudiwe na sehemu tutakazoenda ni pamoja
Je, uko tayari kwa adventure ya kipekee Kigali – Rwanda?
Mbona pale gombe kgm yapo kibao tena makubwaGorrila trekking
Mara nyingi inakuwa organized Capripoint…Huwa wana rotate. Jaribu kucheck TikTok midnight vibes (Kenya) ni 🔥🥰. Hiyo ya Mwanza bado sana.Hapana bado.. wanafanyia sehemu gani?
Kumbe mwenyeji Mwanza.Capri-point kule chicken run? Sawa ntawachek shukran😊
Nitakucheck.Ndioo
Naona kwangu haioneshi chochote, labda jaribu kuiweka tena.View attachment 3533940 Wisle ndio hawa?