Vision ya Rais Dkt. Magufuli ni kuipeleka Tanzania mbele kupitia njia waliyopita Singapore

Hawajui global economy inaendaje...most of these cronies commenting as a praise team hardly know anything about the global economy...waache wakope watajikuta hadi Lumumba inadaiwa...sioni hata strategies za kulipa deni la taifa kama biashara na viwanda vinakufa kila siku.
Badala ya kuchochea uzalishaji Ili ichochee export sababu raslimali zetu ni dormant hazitumiki tungepata pesa nyingi Sana bila kutegemea kukopa Kama ndo chanzo cha mapato.
Kilimo tu kingemaliza shida ya ajira na kuongeza makusanyo ya Kodi.
 
Muwe na akili hata kidogo basi na muwe mnasoma hata vitabu..na hao viongozi kama mko nao karibu advice them wasome vitabu...there's no way we'll make it and become the next Singapore kwa akili za sasa, za wakina dangote kufunga viwanda? Watu kufilisika? Money circulation kupungua kiasi hiki? Watu kupunguziwa mishahara kwenye tv?

Anyways kasomeni, am glad nimesoma vitabu vingi jinsi Singapore and other tiger countries walifanyaje kuwa hapo...sitaki kusema sana, ila nakuachia home work, ukiweza nitakuja kukujibu kwa undani kwann what we are doing is not even close to what Singapore did to advance economically and scientifically: Rais wako anasema tuzaliane sana tukuze uchumi: Swali kuna economic theories zipi zinasema kuna correlation ya ongezeko la watu na ukuaji wa uchumi?

Ukiweza nijibu, ukishindwa nataka kukuachia huu ujumbe: Countries are transformed by extremely intelligent people and i don't see any form of intelligence in our leaders...all i see is leaders with no vision and probably don't know what they are doing, na wanavyokopa hivyo na deni la taifa lilipofikia sitashangaa wakisema nchi imefilisika.
Kila mahali naposoma vitabu muhimu na Makala muhimu na naposoma maandiko au hata comments za watu makini huwa lazima nikutane na hili neno INTELLIGENCE.We need to improve our intelligence in every aspect of life.We actually need need intelligent citizens and from within we shall elect intelligent leaders.Ume comment vyema sana mkuu.
 
Huwa ni kwa vile watu ni wagumu sana kuelewa. Vision ya Rais Dkt. Magufuli ni kuipeleka Tanzania mbele kupitia njia waliyopita Singapore. Singapore walikuwa masikini mara 3 ya Tanzania ya leo. Miaka ya mwanzo ya 70 walikuwa na GDP per capita $320. Sisi leo GDP per capita ni $930. Leo Singapore wana zaidi ya $60,000.

Kama Rais Dkt. Magufuli anavyofanya, walianza na elimu ya bure na kuwekeza sana kwenye vyuo vya ufundi. Wakahakikisha wanapata wataalan wa kutosha. Waliekeza sana kwenye miundombinu ya umeme, mabarabara, bandari, viwanja vya ndege, technologia ya mawasiliano etc, walichochea sekta kama za utalii na huduma nyingine. Waliekeza sana kwenye afya hadi kuvutia medical tourism. Walipambana na rushwa na kutoa adhabu kali sana hasa death penalty kwa wahujumu uchumi.

Wali sacrifice bla bla za kisiasa na ku focus kwenye maendeleo. Mwandishi mmoja anasema:-

"Singapore's model of sacrificing freedom for business is highly controversial and heavily debated. Regardless of philosophy, though, its effectiveness is undeniable."

Lakini kikubwa ambacho Rais Dkt. Magufuli amekipania sana kipindi hiki ni kujenga mazingira mazuri ya kuvutia mitaji ya ndani na nje. Inabidi kupitia upya tena kwa kuchukua mfano wa Singapore sera za kodi, sheria na sera za kazi, sera za ardhi, sera za fedha, sheria za utatuzi wa migogoro, sera za biashara kwa ujumla nk.

Tukifanikiwa hapo Tanzania ni 'a new Singapore in the making.'

Tumuunge mkono JPM na wale ambao wamepewa majukumu ya kumshauri na kumsaidia wajaribu kujielimisha sana na kuweka pembeni maslahi binafsi.
2025 siyo mbali. Tunaisubiri hiyo Singapore.
 
Hatuwezi kuwa kama Singapore kwa sababu Average IQ ya Wasingapore ni kubwa kuliko nchi zote duniani, sisi tupo kwenye nchi za mwishomwisho kwenye kiwango cha IQ
Intelligence plays prime role in every aspect of our life.Surely we need to improve citizens'intelligence and in that society we shall elect intelligent leaders.Intelligence is the keyword.
 
kufika mahala walipo singapore au south korea haiitajiki mipango tu na sera nzuri kuna siasa nyingi sana pia zinahusika,
 
Mazwazwa ya Lumumba kwa kuimba sifa , mapambio ya kusifu na kuabudu utopolo , Jiwe a.k.a. Zanzimana hata umpe miaka mia haipeleki nchi popote IQ yake Ni below zero nchi ataipeleka wapi wewe ?
 
Tuwe wakweli ndoto ya kuwa kama Singapore ni nzuri lakini haiko realistic, ni ndoto ya mwendawazimu. Ndoto ya ukweli ingekuwa tunasema "Tunataka tuipite Kenya kiuchumi". Hiyo ndiyo saizi yetu.
Bajeti ya Kenya ya mwaka 2020/21 kwa Tsh ni 64 Trilion wakati Tanzania ni Tsh 31 Trillion. Kwa hiyo hatufiki hata 50% ya uchumi wa Kenya. Bajeti ya nchi zote 5 yaani Uganda, Tanzania, Burundi, South Sudan na Rwanda ni Tsh 63.5 Trilion kwa maana kuwa Kenya ni kubwa kuliko nchi zingine zote za East Africa.

Haya mapicha picha ya SGR, Barabara na flyover yanayorushwa kwenye TV na magazeti ya Tanzania kumsifia Magufuli ni USHAMBA tu. Muulize mtu yeyote aliyetembelea Kenya ndani ya miaka 3 hii akuamambie ma flyover na barabara za hadhi ya juu zilizojengwa.

Na hutosikia Uhuru Kenyatta akihangaika kukusaidia au Kusifiwa
 
Tuliambiwa kufikia 2025 Tz itakuwa kama Ulaya, ngoja tusubiri, time will tell.
 
Tuliambiwa kufikia 2025 Tz itakuwa kama Ulaya, ngoja tusubiri, time will tell.
 
Ondoa upuuzi wako hapa. Tanzania haihitaji kiongozi anayejigeuza yeye ndiye katiba ili kuendelea. Akaendeshe familia yake anavyotaka unless hiyo tz unayoisema ndiyo chato.
 
Tuwe wakweli ndoto ya kuwa kama Singapore ni nzuri lakini haiko realistic, ni ndiyo ya mwendawazimu. Ndoto ya ukweli ingekuwa tunasema "Tunataka tuipite Kenya kiuchumi. Hiyo ndiyo saizi yetu.
Bajeti ya Kenya ya mwaka 2020/21 kwa Tsh ni 64 Trilion wakati Tanzania ni Tsh 31 Trillion. Kwa hiyo hatufiki hata 50% ya uchumi wa Kenya. Bajeti ya nchi zote 5 yaani Uganda, Tanzania, Burundi, South Sudan na Rwanda ni Tsh 63.5 Trilion kwa maana kuwa Kenya ni kubwa kuliko nchi zingine zote za East Africa.

Haya mapicha picha ya SGR, Barabara na flyover yanayorushwa kwenye TV na magazeti ya Tanzania kumsifia Magufuli ni USHAMBA tu. Muulize mtu yeyote aliyetembelea Kenya ndani ya miaka 3 hii akuamambie ma flyover na barabara za hadhi ya juu zilizojengwa.

Na hutosikia Uhuru Kenyatta akihangaika kukusaidia au Kusifiwa
Nchi hii inatawaliwa na watu wa ajabu sana! mahali popote ukikuta mtawala anafanya kila namna ili atukuzwe hata kwa mambo yakijinga msitegemee lolote la maana

Sent from my Nokia 8.1 using JamiiForums mobile app
 
Wendawazimu ndio husema hivyo.
Uzuri 2025 siyo mbali, kama umefuatilia leo kilichokuwa kinaendelea Tanzanite Tv kuhusu daraja la Kigongo - Busisi kwamba liitwe daraja la Magufuri eti kwa ajili ya kumbukumbu yake, asilimia kubwa waliunga mkono bila kuwashukuru pia waloweka ferry ambazo pia hazikuitwa kwa majina yao.

Naona waliowengi wanajitahidi kutukuza bila kukumbuka tulikotoka tena wengine wamekwenda mbali zaidi kutaka katiba ibadilishwe kwamba Jpm atawale mpaka kufa.
 
JPM (jiwe) ni chaguo sahihi. Ana maono ya tofatuti na chanya, jambo ambalo linampa credit kubwa katika utendaji wake.

Nimecheka kwa nguvu sana kuwa anajenga mazingira bora ya kuvutia mitaji toka nje na ndani. Unajenga mazingira mazuri kwa kupora fedha za watu kwenye Bureau de change? Dangote huyo hapo tayari kawekeza kiwanda cha cement, je wawekezaji toka nje wakimuuliza mazingira ya biashara hapa nchini anaweza kuwashauri waje? Boss mmoja wa TIC alilalamika kuwa mazingira ya biashara hapa nchini sio mazuri.
 
Baada ya haya masakata ya TRA nimefuatilia kodi mbali mbali na mazingira ya uwekezaji aisee sijaamini jinsi wawekezaji walivyowekewa mazingira rahisi, contrary to popular beliefs.

Kwakweli watanzania tumelala sana, sasa ndio naelewa kwanini wageni wanaokuja wana tajirika haraka.

Siasa zetu ni tatizo majungu na upotoshaji umekithiri sana, wataalamu wanaopewa nafasi za ku promote uwezekaji ovyo, bungeni tumejaza vimeo wanaopigia makofi kila kitu au wanaopinga kila kitu bila ya kujadili hoja on merit wakati wizara ya fedha ina kodi rafiki mno za uwekezaji wa kibiashara.

Yaani unabaki unashangaa kwanini mwafrika akipata hela anakimbilia kununua viwanja aje kulangua baadae, ajenge hotel au nyumba za kupangisha.

Wakati Shabib na ndugu zake wanaachana na mabasi wanakwenda kulima Rukwa kumbe capital allowance incentives zilizopo kwenye kilimo aisee yaani wewe ukileta mamashine yako ya kisasa yenye thamani za billioni kadhaa (ukishayatoa bandarini ukalipa kodi) icho kiwango cha kodi utakachopunguza kwenye profit tax kwa miaka kadhaa kama ni mkulima mkubwa mungu anajua.

Tatizo sio serikali peke yake na sisi wananchi kumbe; wengi wetu atijui fursa za uwekezaji zilipo.
Sasa huko bungenj kuna bibi sijui babu Tale ,bado nipo nipo kwanza Mara sijui naondoka unadhani kitafanyika kama sio kuulizana vipi kitu kimesoma
 
Baada ya haya masakata ya TRA nimefuatilia kodi mbali mbali na mazingira ya uwekezaji aisee sijaamini jinsi wawekezaji walivyowekewa mazingira rahisi, contrary to popular beliefs.

Kwakweli watanzania tumelala sana, sasa ndio naelewa kwanini wageni wanaokuja wana tajirika haraka.

Siasa zetu ni tatizo majungu na upotoshaji umekithiri sana, wataalamu wanaopewa nafasi za ku promote uwezekaji ovyo, bungeni tumejaza vimeo wanaopigia makofi kila kitu au wanaopinga kila kitu bila ya kujadili hoja on merit wakati wizara ya fedha ina kodi rafiki mno za uwekezaji wa kibiashara.

Yaani unabaki unashangaa kwanini mwafrika akipata hela anakimbilia kununua viwanja aje kulangua baadae, ajenge hotel au nyumba za kupangisha.

Wakati Shabib na ndugu zake wanaachana na mabasi wanakwenda kulima Rukwa kumbe capital allowance incentives zilizopo kwenye kilimo aisee yaani wewe ukileta mamashine yako ya kisasa yenye thamani za billioni kadhaa (ukishayatoa bandarini ukalipa kodi) icho kiwango cha kodi utakachopunguza kwenye profit tax kwa miaka kadhaa kama ni mkulima mkubwa mungu anajua.

Tatizo sio serikali peke yake na sisi wananchi kumbe; wengi wetu atijui fursa za uwekezaji zilipo.

Ww mwenyewe unalima ili kufaidi huo ubwerere, au ni mambo ya motivational speaker?
 
Back
Top Bottom