Naomba mweye kujua Bei ya vishikwambi walivyopewa walimu shilingi ngapi aniambie.Kuna jamaa mmoja alinambia eti vinauzwa laki mbili Zanzibar.Je,ukweli ni upi?
Naomba mweye kujua Bei ya vishikwambi walivyopewa walimu shilingi ngapi aniambie.Kuna jamaa mmoja alinambia eti vinauzwa laki mbili Zanzibar.Je,ukweli ni upi?
Naomba mweye kujua Bei ya vishikwambi walivyopewa walimu shilingi ngapi aniambie.Kuna jamaa mmoja alinambia eti vinauzwa laki mbili Zanzibar.Je,ukweli ni upi?
Naomba mweye kujua Bei ya vishikwambi walivyopewa walimu shilingi ngapi aniambie.Kuna jamaa mmoja alinambia eti vinauzwa laki mbili Zanzibar.Je,ukweli ni upi?
Nahisi Kuna teacher kishkwambi Chake kinaliwa kichwa. Lkn wamevusajili serial number na imei number Mzee kinajulikana. Vimesajiliwa hadi Kwa NIDA number za uraia ya mhusika(t3acher).
yaani serikali inauwezo wa ki allocate. Hata ukikifukia sehemu.
ushauri wangu ni Kaa mbali na kishkwambi Cha mwalimu