Mr. Django
JF-Expert Member
- Jul 25, 2014
- 1,830
- 2,434
Tumekua tukisikia visa vingi sana vinavyotokana na mapenzi, yani pale Mwanamke au Mwanaume anakuta msg za ajabu baada ya kuchukua simu ya mpenzi wake, ila hii ya Brazil ilivunja rekodi.
Ilitokea kwa binti mmoja kumeza simu muda mfupi tu baada ya boyfriend (Renato) wake kutaka kusoma msg ambapo msichana alikimbia na simu kutoka kwenye mikono ya boyfriend na kuimeza kwa kuhofia angeikamata simu.
Ilibidi akimbizwe hospitali na kufanikiwa kutolewa hiyo simu tumboni ambapo haikujulikana ni nini ambacho mrembo huyu alikua anakificha kwa boyfriend wake ila iliripotiwa na vyombo mbalimbali vya habari duniani kwamba tayari mrembo huyu alikua na mwanaume mwingine nje ya uhusiano.
Source MillardAyo
Nimeisoma hii habari nikakumbuka mwaka 2011, nilikuwa na mchumba alikuwa akipigiwa simu na namba ambayo hajaisave, kila mara tunapokuwa pamoja na akipokea hajiamini anachokiongea. Mara nyingi anakuwa ni mtu wa mmh..., ndiyo..., hapana..., haya... and the like. Baada ya kumuuliza huyo anaekugipia simu unakosa kujiamini ni nani na kwanini hujamsave, nipe namba yake nimpigie.. Akafungua simu harakaharaka akatoa line na kuivunjavunja!!
Hebu na wewe tupe kisa chako kama imewahi kukutokea.
Ilitokea kwa binti mmoja kumeza simu muda mfupi tu baada ya boyfriend (Renato) wake kutaka kusoma msg ambapo msichana alikimbia na simu kutoka kwenye mikono ya boyfriend na kuimeza kwa kuhofia angeikamata simu.
Ilibidi akimbizwe hospitali na kufanikiwa kutolewa hiyo simu tumboni ambapo haikujulikana ni nini ambacho mrembo huyu alikua anakificha kwa boyfriend wake ila iliripotiwa na vyombo mbalimbali vya habari duniani kwamba tayari mrembo huyu alikua na mwanaume mwingine nje ya uhusiano.
Source MillardAyo
Nimeisoma hii habari nikakumbuka mwaka 2011, nilikuwa na mchumba alikuwa akipigiwa simu na namba ambayo hajaisave, kila mara tunapokuwa pamoja na akipokea hajiamini anachokiongea. Mara nyingi anakuwa ni mtu wa mmh..., ndiyo..., hapana..., haya... and the like. Baada ya kumuuliza huyo anaekugipia simu unakosa kujiamini ni nani na kwanini hujamsave, nipe namba yake nimpigie.. Akafungua simu harakaharaka akatoa line na kuivunjavunja!!
Hebu na wewe tupe kisa chako kama imewahi kukutokea.