Visa nilivyoshuhudia kwa ndugu yangu Mtaalam wa Tiba za Asili

Uganga wa kienyeji na uchawi wote ni WACHAWI, yaani ana uwezo wa kumtibu af mtu anamwambia ni nyama yangu mwache afe unakubali kuacha mtu afe.
Ukiona mganga kakubali mteja wake afe huyo sio mganga ni mamluki anaeendekeza njaa.

Mganga wa kweli lazima amtibie huyo mgonjwa mpaka apone kama huo ugonjwa upo ndani ya uwezo wake hakuna mchawi atakaempa pesa akaikubali kisa tu huyo mgonjwa aache kumtibia ili afe wamle nyama.
 
Duh, mwamba anayepiga biti hadi majini, hatari sana huyu mwamba

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹
 
Huyu ndie real mganga
 
Jamani mganga wa kweli ni mungu tu.. ukisali kwa moyo wote hakuna mchawi anaeweza kukugusa. Na sio lazima uende kanisani.. Mimi nina mwaka wa pili sasa siujui mlango wa kanisa. Ila huwa naamka saa tisa usiku nina tubu na kusali namuomba Mungu mahitaji yangu. Namuomba anilinde pia. Hakika mambo yangu yanaenda vizuri kabisa. Wachawi wenyewe wananiogopa. Tusali sana jamani mungu yupo na anajibu maombi tukimuomba kwa moyo wote.
 
Pole Sana, itoshe kusema tumtangulize Mungu kwa kila hatua tunayopiga hawa waliokaribu yetu ndio wanaotumaliza sababu wanatujua undani mtu mbaya hatoki mbali na wewe...Dada yangu aliyumba mpaka kuamua kuachika bila shurti sababu ya hizi mambo mbaya zaidi iliathiri familia karibu yote sababu ya hivihivi kujuana machimbuko ya Koo na familia ila Mungu mwaminifu kajikabidhi kwake ndie anayemfunulia mengi kila iitwayo siku
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…