Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 63,664
- 112,816
Doooohhujawahi kusikia zamani wafalme walizikwa na making zao + watu wa kuwalinda...unaambiwa watu walikuwa wanagombania kwende kuzikwa na mfalme
Doooohhujawahi kusikia zamani wafalme walizikwa na making zao + watu wa kuwalinda...unaambiwa watu walikuwa wanagombania kwende kuzikwa na mfalme
Hadi makaburini nako kuna classes??? Sikuwahi kujua, kumbe tabu iko pale pale
Pambana ili ukifa uzikwe Kino (Makaburi ya Kinondoni) .Pale wanazikwa watu maarufu.Ila hata makaburi ya Kisutu,Tandale ,Chang'ombe,Wailes ,Kibangu yote yana madaraja.Daaah inabidi nipambane walau nikazikwe class A, uhai wangu wote nipo class Z hadi nikifa!!! Haiwezekani
Na ukifanikiwa, hakikisha unaenda kulipia mapemaa..!!! Maana kuna wapiga panga, watakaokuweka kwenye class ya chini kabisa..Ndio nimejua sahivi, nitapambbana niwe class A
Na ukifanikiwa, hakikisha unaenda kulipia mapemaa..!!! Maana kuna wapiga panga, watakaokuweka kwenye class ya chini kabisa..
Yani tabu iko pale pale
Kufa tabu kuishi tabu, hatari sana
Mjomba, ukifa huko ,uje uzikwe hapa lizaboni, kaburi hata halilipiwi na wachimbaji wanachimba bure tuNa ukifanikiwa, hakikisha unaenda kulipia mapemaa..!!! Maana kuna wapiga panga, watakaokuweka kwenye class ya chini kabisa..
Lizaboni ndio makaburi ya wapi hayo?mjomba, ukifa huko ,uje uzikwe hapa lizaboni,kaburi hata halilipiwi na wachimbaji wanachimba bure tu
Ahahahahahaa pale kwenye makaburi ya karibu na kwa Henjewele au kule kwa Kakululu? Afu we wa wapi?mjomba, ukifa huko ,uje uzikwe hapa lizaboni,kaburi hata halilipiwi na wachimbaji wanachimba bure tu
niliyemqoute anayajua,yapo huku NAMTUMBOLizaboni ndio makaburi ya wapi hayo?
Hayo hayo,ila sahizi wengi wanazika pale mjimwemaAhahahahahaa pale kwenye makaburi ya karibu na kwa Henjewele au kule kwa Kakululu? Afu we wa wapi?
Ok, ni karibu na hospitali?Hayo hayo,ila sahizi wengi wanazika pale mjimwema
Yapo huko mkoani Ruvuma, hakuna cha CLASS wala MALIPO...Lizaboni ndio makaburi ya wapi hayo?
mzee hiyo tamaduni ilikuwepo ni sawa na sasa wanajeshi wanaogombania nafasi za kwende kulinda amani Sudan ili walipwe pesa ya kutosha na umoja wa mataifaMkuu acha uongo bana yaani mtu ameshakufa , kisha akagombanie kuzikwa kwa mfalme tena , kwel tena na hiki ni kituko cha msibani aisee , hebu nieleze anaanzaje anzaje kwenda kugombania kuzikwa pahala alipozikwa mfalme , huku yeye ameshakufa
Mlongo za magono!Ahahahahahaa pale kwenye makaburi ya karibu na kwa Henjewele au kule kwa Kakululu? Afu we wa wapi?
Kwabwina mlongo..!! umeshaweka oda ya likabule kuperamihu?
Hiii kitu hata mimi nimeishangaa sana😂😂Hadi makaburini nako kuna classes??? Sikuwahi kujua, kumbe tabu iko pale pale
Upuuzi kweli😂😂hujawahi kusikia zamani wafalme walizikwa na making zao + watu wa kuwalinda...unaambiwa watu walikuwa wanagombania kwende kuzikwa na mfalme