Kifaru86
JF-Expert Member
- Apr 22, 2017
- 1,734
- 3,802
1. Akikuomba hela au vocha ukimtumia hakwambii kama amepata mpaka umpigie simu na usipopiga simu anapiga kimya
2. Akikosea au kukosea ukimweleza ukweli hawezi kukuomba msamaha zaidi zaidi atapiga kimya.
3. Makosa mengi yanayotokea katika mahusiano yenu anakusingizia wewe ndio chanzo na makosa mengi anayageuzia kwako.
4. Kila jambo unalolifanya kumuoneshea kama unampenda yeye anaishia kulikosoa.
5. Unaposhidwa kutimiza kile anachokitaka akiwa na shida anaanza kukununia tuu.
6. Akiona umeanza kubadilika kitabia ghafla anaanza anakuwa mkali na wivu uliopitiliza.
7. Akianza kupata hisia Kuhisi una mwanamke mwingine ghafla anataka kuanza kuku control kwenye kipato chako hela zako anataka ziwe chini yako yeye ndo akupangie matumizi.
8. Mambo yako yakianza kuyumba yeye anaanza kupunguza mawasiliano ww na kujiweka mbali na wewe taratibu.
9. Mambo yako yakianza kutulia kuwa mazuri anajirudisha kwa kasi mnoo baada ya kupunguza ukaribu na wewe.
10. Ukimuelekeza jambo ambalo amekukosea hawezi kukuomba msamaha zaidi zaidi atakwambia kama unaona sikufai basi tafuta mwanamke Mwingine.
2. Akikosea au kukosea ukimweleza ukweli hawezi kukuomba msamaha zaidi zaidi atapiga kimya.
3. Makosa mengi yanayotokea katika mahusiano yenu anakusingizia wewe ndio chanzo na makosa mengi anayageuzia kwako.
4. Kila jambo unalolifanya kumuoneshea kama unampenda yeye anaishia kulikosoa.
5. Unaposhidwa kutimiza kile anachokitaka akiwa na shida anaanza kukununia tuu.
6. Akiona umeanza kubadilika kitabia ghafla anaanza anakuwa mkali na wivu uliopitiliza.
7. Akianza kupata hisia Kuhisi una mwanamke mwingine ghafla anataka kuanza kuku control kwenye kipato chako hela zako anataka ziwe chini yako yeye ndo akupangie matumizi.
8. Mambo yako yakianza kuyumba yeye anaanza kupunguza mawasiliano ww na kujiweka mbali na wewe taratibu.
9. Mambo yako yakianza kutulia kuwa mazuri anajirudisha kwa kasi mnoo baada ya kupunguza ukaribu na wewe.
10. Ukimuelekeza jambo ambalo amekukosea hawezi kukuomba msamaha zaidi zaidi atakwambia kama unaona sikufai basi tafuta mwanamke Mwingine.