Bado hujanywa konyagi kubwa...hawa jamaa wanatutengeneza wauze tu chanjo yao..wametukosa.....kama mpango kupunguza idadi ya watu wangetengeneza corona ya mapenziHili jua siyo mchezo, huezi amini sanitizer yangu ime evaporate yooooote: nadhani sasa niko salama maana hii ni total sanitization
🙄Usizisome basi!
Dar kuna Jua kali kuliko Saudi Arabia,Kuwait,Bahrain,Oman na UAE? nchi ambazo joto hufika mpaka 50c lakini Covid ipo.Waache waendelee kupambana sisi wametukosa na migonjwa yao ya kutengeneza
Tena na hili jua la Dar kwa sasa ndio kabisa virusi haviwezi kutusumbua
😀😀😀😀😀😀😀😀Bado hujanywa konyagi kubwa...hawa jamaa wanatutengeneza wauze tu chanjo yao..wametukosa.....kama mpango kupunguza idadi ya watu wangetengeneza corona ya mapenzi
Ungeisema tu🤓Kuna nchi fulani hapa duniani, eneo lake fulani lenye wakazi wengi lilikuwa karibu sana na sehemu ambayo ilikuwa na mlima wenye Volcano hai. Sehemu hiyo ilikuwa na mandhari nzuri sana, na wakazi wake wengi walikuwa watu wenye uwezo. Wakatembelea Wataalam wa mambo ya volcano sehemu hiyo. Wakatoa tahadhari, kwamba baada ya muda fulani volcano italipuka vibaya sana. Ilikuwa ni baada ya kupita muda mrefu kidogo. Lakini wakashauri watu wahame maeneo hayo. Wataalamu wakaondoka. Maisha yakaendelea kama kawaida.
Muda ukapita, kukaanza kuonekana kama mvukemvuke hivi. Mmm! wenye uelewa wakaanza kuhama.
Hali ya mvuke ikaendelea kama miaka mitatu hivi, aaah! watu wakazoea hali, maisha yakaendelea.
Ee bwana eee!! Siku ya siku, muda wa usiku, volcano ililipuka, sehemu yote ile ilifukiwa, hakupona mtu.
This is a true story, ukitafiti utaijua sehemu husika.
Ongeza sauti😁😁😁😁😁😁😁😁"Tanzania has the third largest population at risk of malaria in Africa: over 90% of population live in areas where there is malaria. Each year, 10 to 12 million people contract malaria in Tanzania and 80,000 die from the disease, most of them of them children."
Malaria in Tanzania | MalariaSpot
malariaspot.org
Pambaneni na matatizo yenu kenge nyie
Ndiyo, dar kuna jua kali na tunaendelea kuchapa kazi; huko kwingine majority hujifingia kwa AC. Hiyo ndiyo tofauti, panapo majaliwa tutashindaDar kuna Jua kali kuliko Saudi Arabia,Kuwait,Bahrain,Oman na UAE? nchi ambazo joto hufika mpaka 50c lakini Covid ipo.
SureNaomba serikali yangu ifunge mdomo covid 19 is dangerous it will eliminate the world. Let us pray silence