Vipindi vya Redio na Televisheni unavozipa muda wako.

Vipindi vya Redio na Televisheni unavozipa muda wako.

nimetega na alarm kabisa ili kipindi kisinipite kinaanza kati ya jumatatu mpaka ijumaa kina simulizi za maisha halisi ya mikasa mizito ambayo watu wamepitia kwenye maisha yao, unakipata EFM RADIO kuanzia kumi na mbili na robo jioni mpk na dk 50. ni kipindi kifupi sana lkn kitakufanya ujifunze mengi kwny maisha mfano mdogo tu nikupe,imezoeleka kwenye familia wanadai mama ndo anajua baba halisi wa kila mtoto wake lakini kwenye simulizi iliyopita baba ndo alikuwa anajua siri kwamba watoto anaowalea si wakwake mpaka siku akamuweka chini mke wake kumueleza ukweli kwamba yeye si baba halisi wa watoto wao hali iliyopelekea kuvunjika kwa ndoa hiyo iliyodumu kwa miaka 14.
 
Kuna kipindi flani hua kipo Radio Maisha ya kenya, kinaitwa Maisha jioni. I remember kinaanza kama saa tisa mchana monday to friday. Ni kipindi changu pendwa (shout out to Sugarboy!).
Pia zamani nilikua mdau mkubwa sana wa Jahazi clouds Fm kipindi Ephraim kibonde was stil alive (R.I.P).
 
nimetega na alarm kabisa ili kipindi kisinipite kinaanza kati ya jumatatu mpaka ijumaa kina simulizi za maisha halisi ya mikasa mizito ambayo watu wamepitia kwenye maisha yao, unakipata EFM RADIO kuanzia kumi na mbili na robo jioni mpk na dk 50. ni kipindi kifupi sana lkn kitakufanya ujifunze mengi kwny maisha mfano mdogo tu nikupe,imezoeleka kwenye familia wanadai mama ndo anajua baba halisi wa kila mtoto wake lakini kwenye simulizi iliyopita baba ndo alikuwa anajua siri kwamba watoto anaowalea si wakwake mpaka siku akamuweka chini mke wake kumueleza ukweli kwamba yeye si baba halisi wa watoto wao hali iliyopelekea kuvunjika kwa ndoa hiyo iliyodumu kwa miaka 14.
Kizuri nitakifuatilia. Asante
 
SITASAHAU

KUTOKA
RADIO FREE AFRICA

TIME:

Jumapili saa 4 mpaka 5 asubuhi.
 
Back
Top Bottom