Teamanaconda
JF-Expert Member
- Jun 21, 2013
- 602
- 563
Kwanza kabsa hongereni kwa kulijenga Taifa.
Mimi nina shida moja ambayo siielewi naomba madokta mnisaidie, kuna hospital moja kubwa tu kila mwanafamilia yangu akienda kupima malaria kwenye hiyo hospital anakutwa hana malaria na wala hana ugonjwa wowote.
Wakati mimi kama mtu mzima naona kabsa huyo mwanafamilia yangu ana dalili za malaria, cha ajabu nikitoka kwenye hiyo hospital na huyo mgonjwa nikienda kwenye dispensary tu ya uchochoroni kupima anakutwa na malaria na akipewa dawa anapona.
Alianza mwanangu, msaidizi wetu,na jana nilimpeleka mke wangu majibu ni hayo hayo lakini tumeenda dispensary ya uchororoni kakutwa na malaria 3 tumepewa dawa na anaendelea vizuri, sasa naomba kuuliza kwa madokta wa humu Jf, je hivi vipimo vya malaria vipo tofauti? Maana tukiendelea hivi kuna siku hii hospital kubwa itakuja kuua mtu
Mimi nina shida moja ambayo siielewi naomba madokta mnisaidie, kuna hospital moja kubwa tu kila mwanafamilia yangu akienda kupima malaria kwenye hiyo hospital anakutwa hana malaria na wala hana ugonjwa wowote.
Wakati mimi kama mtu mzima naona kabsa huyo mwanafamilia yangu ana dalili za malaria, cha ajabu nikitoka kwenye hiyo hospital na huyo mgonjwa nikienda kwenye dispensary tu ya uchochoroni kupima anakutwa na malaria na akipewa dawa anapona.
Alianza mwanangu, msaidizi wetu,na jana nilimpeleka mke wangu majibu ni hayo hayo lakini tumeenda dispensary ya uchororoni kakutwa na malaria 3 tumepewa dawa na anaendelea vizuri, sasa naomba kuuliza kwa madokta wa humu Jf, je hivi vipimo vya malaria vipo tofauti? Maana tukiendelea hivi kuna siku hii hospital kubwa itakuja kuua mtu