monaco
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 2,184
- 1,761
Wakuu habari,
Naomba Kuuliza:
Hivi kwanini Hospital nyingi kubwa kama TMJ,Rabininsia,Masana nk no nk
Huwa wanapenda Kupima malaria kwa Kutumia kipimo cha MRDT?
Kile kinachotoa majibu baada ya Dakika 5.
Wakati majibu Mengi huonyesha malaria Hakuna,Wakati unaumwa na Ukienda Kwenye Dispensary wanaotumia Microscope yaani Darubini itaonyeshwa malaria rings 2,3 nk.
Na Unakuta unaumwa Kweli!
Kwanini Hospital kubwa hawataki kutumia Darubini?
Wanataka Fasta fasta?
Hii Mimi imenikuta sana na jamaa wenzangu wengi imewakuta sana wakiumwa wakienda kupima hawana wakienda Dispensary wanaotumia Darubini wanakuta Malaria IMO!
Cc:
Sky Eclat
Naomba Kuuliza:
Hivi kwanini Hospital nyingi kubwa kama TMJ,Rabininsia,Masana nk no nk
Huwa wanapenda Kupima malaria kwa Kutumia kipimo cha MRDT?
Kile kinachotoa majibu baada ya Dakika 5.
Wakati majibu Mengi huonyesha malaria Hakuna,Wakati unaumwa na Ukienda Kwenye Dispensary wanaotumia Microscope yaani Darubini itaonyeshwa malaria rings 2,3 nk.
Na Unakuta unaumwa Kweli!
Kwanini Hospital kubwa hawataki kutumia Darubini?
Wanataka Fasta fasta?
Hii Mimi imenikuta sana na jamaa wenzangu wengi imewakuta sana wakiumwa wakienda kupima hawana wakienda Dispensary wanaotumia Darubini wanakuta Malaria IMO!
Cc:
Sky Eclat