Vipi update za mazungumzo na Accacia

nkulikwa

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2015
Posts
721
Reaction score
813
Hakuna ambaye amenusu kama zile billions zinatalipwa na wanaume au la! Mwenye update atuambe!

=================
 
Nipo hapa nasubiri Noah yangu kwa hamu yote ila cha kuhudhunisha hata mrejesho wa stori wakati wanakunywa chai sijasikia
 
Akili inaniambia hata kama Accacia/Barrick wakikubali kulipa haitatangazwa hadharani kama wamekubali walikosea na wamelipa kiasi gani. Hiyo itafanyika kwasababu ya kuwalinda wawekezaji wasipate misukosuko ktk soko la hisa la London. Taarifa itakuwa "Tumeshafikia makubaliano ambayo yanafaida pande zote na sasa tunaangalia zaidi namna ya kuongeza ufanisi katika uwekezaji wetu ili pande zote zipate faida zaidi. Maelezo ya ziada kuhusu makubaliano yetu yatabaki kuwa siri baina yetu. Ahsanteni sana." Mwisho wa kunukuu.
 
Agiza 'Faru John' nitumie bill
 
Swadakta...
 
Mazungumzo yatakwama tu Mtu mpo kwenye majadiliano halafu unawaita wenzako Wezi suluhu itapatikana vipi hapo
 
Hakana cha kujadili, Acacia ni wezi, wametuibia trilioni 108 na kodi trilioni 425, utajadiliana mtu kama huyu? Kwa mujibu wa ripoti za wataalamu wetu wa madini na fedha
No nikupiga assets zake pingu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…