Vipi umezipata hizi? Mithali mpya?

Vipi umezipata hizi? Mithali mpya?

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2009
Posts
43,037
Reaction score
34,741

1. Simba mwendapole... Huyo ni Sharobaro

2. Asiyefunzwa na *****.. Ujue Mama hajapitia Ualimu


3. Zimwi likujualo.. Lilikuona Sehemu


4. Chelewa Chelewa.. Ukizikusanya utapata Ufagio


5. Hakuna Masika.. Wakati wa Kiangazi


6. Mpanda Ngazi.. Asiwe Mwoga kuanguka


7. Ukitaka cha Uvunguni.. Usishangae ukikuta ni Kichafu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom