Vipi mshahara wa November?

Vipi mshahara wa November?

Kungekuwa na tarehe maalumu ya kutoka mshahara Mara 22,23,25.28 kwa hiyo usipokuwa care unadhalilika
 
Na sijui kwa nini mishahara kwa watumishi wa umma hatujaongezewa yani No any changes
 
Mimi kwa uelewa wangu hadi sasa uchumi utakua vizuri serikalini lakini kwa wananchi wa kipato cha chini noooooo hamna kitu ni fedheha tupu
 
Walikua na mkataba wa kuongezewa mshahara mwezi huu? nauliza tu, mie mtembezi nilikua mtaani ndio nimerudi
 
Back
Top Bottom