Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 15,024
- 32,710
😅😅
Upo daraja gani mkuu?Daa imeingia sms hapa siamini nachokiona.Ongezeko la hela ya dagaa 34,500/-
Wewe Kama Mimi . Utakua daraha HKwangu ni 225,000
Bado banaaa
Noma sana..toa hiyo nenda kajipoze kwa bia mbili...huku ukitafakari.Daa imeingia sms hapa siamini nachokiona.Ongezeko la hela ya dagaa 34,500/-
Kibarua basha wako. Hatulali na deni.Vibarua wa serikali njooni kuna jambo lenu uku
Mbona ongezeko liko fresh tu. Salary out.Dunia ni uwanja wa huzuni. Bado dakika chache vilio na huzuni vitamalaki.
Ninawatakia maumivu mema.
Wenye macho tumeshaona yaliyomo hayamo
Kibarua bwana wako. Hatupoi.Nyie vibarua wa Mama Samia acheni kutusumbua humu
Kiasi cha TZS 1665000 kimewekwa kwenye akaunti yako inayoishia na 48929 tarehe 22-07-2022. NMB Karibu Yako!
Acha uongoOngezeko la 26,000 mama anaubonda mwingi
Ukweli ni upi sasa?