BabaMorgan
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 4,059
- 10,514
Kuna wamama wenye nyumba wengi licha ya kuwa na mafanikio ya kipesa still wanaendekeza roho mbaya na umasikini wa kufikiria.
Inawezekana vipi umukate mshahara binti yako wa kazi kisa kavunja sahani, kikombe au kapoteza vijiko? Mshahara wenyewe kwanza ni kiduchu na bado unapata ujasiri wa kuukata huu ni uonevu wa kiwango cha juu.
Kwa vile wanatuona Nyani basi Mimi ni Nyani Mpole
Inawezekana vipi umukate mshahara binti yako wa kazi kisa kavunja sahani, kikombe au kapoteza vijiko? Mshahara wenyewe kwanza ni kiduchu na bado unapata ujasiri wa kuukata huu ni uonevu wa kiwango cha juu.
Kwa vile wanatuona Nyani basi Mimi ni Nyani Mpole