Simchezo
JF-Expert Member
- Apr 10, 2012
- 445
- 345
Wadau naona hawa jamaa wa ccm wanajaribu kutubadilishia movie kijanja, tunahitaji na ni lazima tuibane serikali iwakamate mawaziri, makatibu wakuu, wakurugenzi na wote waliohusika kutuibia matrilioni yetu, hizi ni kodi zetu wote jamani!! Nashauri once wakikamatwa na kupelekwa mahakamani mali zao zote na za watoto wao zizuiwe immediately! CDM na wengine tunasubiri muongozo!!!!