Vipi kama ex aki ......!!

Vipi kama ex aki ......!!

Nmeguswa sana hii maada. Sitamsahau ex wangu tulipendana sana tulipitia hali ngumu naye alinivumilia na nilimvumilia alinifariji kila ninapokumbwa na matatizo alijivika matatizo yangu yakawa yake. Lah hasha! Safar ya maisha ni kiza kinene unajua unapotoka lakn hupajui unapoenda. Niliweza kusafir mikoa ili nikamuone na kumjulia hali na yeye aliweza kujitoa kwa ila hali ili tu mambo yaende sawa.
Siku uhusiano wetu unavunjika alitoa machoz hadharan kama kapatwa na msiba. Naweza kujiita mzembe kwa kushindwa kulinusuru penzi na kusikia maneno ya watu. Japo palikuwa na vielelezo lakn nilishndwa hata kutoa nafasi ya msamaha, hasira hasara.....
Nakumbuka neno alilonambia Mungu anasamehe lakn ww mwanadam ni nani hasa hutaki kusamehe? Japo kwasasa yeye ni mke wa mtu lakn bado ananilaumu kwa kushindwa kunusuru penzi....
Pamoja na kuwa kila mtu ana hamsini zake lakn tunasaidiana kwa kila linalowezekana.

Sitokuja kumsahau my ex wangu, kutokuwa pamoja limekuwa pengo kubwa

wanaume jmn mpunguze hasira..ona sasa majuto,keshaolewa huko lakn moyo ukute upo huku
 
wanaume jmn mpunguze hasira..ona sasa majuto,keshaolewa huko lakn moyo ukute upo huku

Utafiti nilioufanya mwenyewe umethibitisha zaidi ya asilimia 80 ya ndoa, ni ndoa za wanandoa ambao hawajapendana upendo wa moyoni.

Hii kitu wife/husband material inawalazimisha watu waoe wasiowapenda kwa dhati.... wakijiaminisha watajifunza kupenda.... michepuko itakwepeka?

Ukiona wanandoa wamehamishia mapenzi yao kwa watoto zaidi ya wenza wao, jiulize na ujijibu.

Nimesema mimi ODM.
 
Nmeguswa sana hii maada. Sitamsahau ex wangu tulipendana sana tulipitia hali ngumu naye alinivumilia na nilimvumilia alinifariji kila ninapokumbwa na matatizo alijivika matatizo yangu yakawa yake. Lah hasha! Safar ya maisha ni kiza kinene unajua unapotoka lakn hupajui unapoenda. Niliweza kusafir mikoa ili nikamuone na kumjulia hali na yeye aliweza kujitoa kwa ila hali ili tu mambo yaende sawa.
Siku uhusiano wetu unavunjika alitoa machoz hadharan kama kapatwa na msiba. Naweza kujiita mzembe kwa kushindwa kulinusuru penzi na kusikia maneno ya watu. Japo palikuwa na vielelezo lakn nilishndwa hata kutoa nafasi ya msamaha, hasira hasara.....
Nakumbuka neno alilonambia Mungu anasamehe lakn ww mwanadam ni nani hasa hutaki kusamehe? Japo kwasasa yeye ni mke wa mtu lakn bado ananilaumu kwa kushindwa kunusuru penzi....
Pamoja na kuwa kila mtu ana hamsini zake lakn tunasaidiana kwa kila linalowezekana.

Sitokuja kumsahau my ex wangu, kutokuwa pamoja limekuwa pengo kubwa

Nikigundua mwanaume anamlilia x kiasi hiki nakaa mbali nae kabisaaa
 
Hata kama sio X watu wanachepuka na pete zao mikononi... Itakuwa X? Tena mliachana bila ugomvi? Hapo ni muendelezo wa kuchepuka tuu labda umuone huyo X hana viwango vya ubora. Lakini umkute ni mtu katulia na mvuto upo kumegana kupo pale pale. Haya mambo yakikukuta ndio utajua kuwa hakuna kitu kinaitwa uaminifu wala mapenzi ya kweli..especially bongo.
 
Maskini badiebey. mijamaa utakuta ilikuwa ina aleji ya kukata kucha.

hahahahahahaahahahahaha
wallahi mama matesha Sr
bora angekuzaa ukiwa mbudhi ungesaidia kufanya awe na mgomba matata mengeleni!
 
Last edited by a moderator:
hahahahahahaahahahahaha
wallahi mama matesha Sr
bora angekuzaa ukiwa mbudhi ungesaidia kufanya awe na mgomba matata mengeleni!

Mwenyewe anajifagilia amejitotolea bonge la kidume. Lina watoto watano kwa wamama watatu LOL
 
Nikigundua mwanaume anamlilia x kiasi hiki nakaa mbali nae kabisaaa

Bahati mbaya wanaowalilia huwa hawawalilii tukiona!
wanawalilia kwa mapishi yetu
wanawalilia kwa swaga zetu kitandani
wanawalilia kwa maumbo yetu
wanawalilia kwa tunavyodeal na emotions zetu
wanawalilia kwa mitazamo yetu!
basi mradi raaaaha tu kudate watu wasio na uwezo wa kuapdate kama sio kuconfigure RAM zao!
 
Bahati mbaya wanaowalilia huwa hawawalilii tukiona!
wanawalilia kwa mapishi yetu
wanawalilia kwa swaga zetu kitandani
wanawalilia kwa maumbo yetu
wanawalilia kwa tunavyodeal na emotions zetu
wanawalilia kwa mitazamo yetu!
basi mradi raaaaha tu kudate watu wasio na uwezo wa kuapdate kama sio kuconfigure RAM zao!

Aiseeee....Sasa mimi ntabaki kushindana na mtu ambaye simuoni nitaweza? Nitaimprove my standards kulingana na mahitaji ninayoyaona hayo mengine kuchoshana tu
 
Bahati mbaya wanaowalilia huwa hawawalilii tukiona!
wanawalilia kwa mapishi yetu
wanawalilia kwa swaga zetu kitandani
wanawalilia kwa maumbo yetu
wanawalilia kwa tunavyodeal na emotions zetu
wanawalilia kwa mitazamo yetu!
basi mradi raaaaha tu kudate watu wasio na uwezo wa kuapdate kama sio kuconfigure RAM zao!

duh......
 
wanaume jmn mpunguze hasira..ona sasa majuto,keshaolewa huko lakn moyo ukute upo huku

ndio hvyo wakat nachukua maamuzi nilijua niko sahihi lakn sasa ndio najua kuwa nilikuwa nmekosea sana
 
nakiri kufanya dhambi ya kutembea na mke wa mtu. Moyo unaniuma sana nahsi kama jamaa ndio mwiz ila mm n mme halali

Hahhaha nilijua tu. Afu unaweza kuta wakati jamaa linammega, mama anavuta hisia zako.

İla nakushauri., sahau yaliyopita kaa mbali na mke wa mtu. Hatareee
 
Aiseeee....Sasa mimi ntabaki kushindana na mtu ambaye simuoni nitaweza? Nitaimprove my standards kulingana na mahitaji ninayoyaona hayo mengine kuchoshana tu

na wewe c umsimulie ulivopagawishwa na basha wako ngoma iwe droo?
 
Back
Top Bottom