dawa yenu
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 2,829
- 3,733
mi x sitaki hata kumsikia kifo kingekua kinaombewa ningemwombea afe
lady in action
mi x sitaki hata kumsikia kifo kingekua kinaombewa ningemwombea afe
nianze kwa kujifunza,mwanamke ni mtu wa kubadilika muda wowote ule. mwaka na miezi 3 sasa tangu aliponiacha maumivu alioniachi hayaelezeki na mpaka muda huu sijaona wa kufanana nae japo alikuwa wa kawaida lakin kwa upendo niliokuwa nao kwake natamani kurudiana nae,na nileo nilikuwa nawazia hilo ila sijui nianzie wapi.lakin nimempenda sana,ushauri wangu kama uko na mpenzi wako wakati huu,usijaribu kamwe kufikiria kumuacha taabu yake hasimuliki nawaapien msijaribu.
Oookay ......
Mimi nitahitimisha,napenda kusikia kutoka kwenu kwanza!
ni kweli maisha yanaenda,fikiria kila mtu ana ndoto za kuwa na ndoa,na kwa bahati ukapata mtu atakae timiza ndoto zako,mkapatana wewe na yeye kuwa kitu kimoja lako ni lake na lake ni lako,inakujatokea mtu anayavuruga hayo mapatano na kuyafutilia mbali,niambie utajisikiaje? ni kama umepiga hatua 3 mbele halafu anatokea mtu anakurudisha nyuma hatua kumi! hapana yasikie tu. na lawama nawapa wanaume tu hakuna mwingine ni sisi tu.
Mh!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
mi x sitaki hata kumsikia kifo kingekua kinaombewa ningemwombea afe
Mkuu inaonekana wewe ulikuwa hatari kwenye haya mambo eehh!!
ukishatapika.....hutakiwi kurudi nyuma....
Mi nataka nijue yako ili nione kama ule mpango naweza kuendelea nao!
mi x sitaki hata kumsikia kifo kingekua kinaombewa ningemwombea afe